• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Maji

SEKTA YA MAJI

Idara ya Maji ipo kwa mujibu wa muundo wa Utumishi ikiwa na jukumu kubwa la kutoa huduma ya maji kwa wakazi wa Wilaya ya Kalambo. Pamoja na jukumu la kutoa huduma ya maji Idara inahusika na kupanga na kusanifu miradi ya maji, kupitia usanifu wa miradi ya maji unaofanywa na wataalam wa nje, kusimamia ujenzi na uendeshaji wa miradi ya maji pamoja na kukarabati miradi ya maji yenye hitilafu. Idara pia inahusika na kuunda na kusimamia vyombo vya watumiaji maji

Malengo/Majukumu ya Idara ya Maji

1. Kuandaa bajeti ya kutekeleza miradi ya maji na kusimamia utekelezaji wa miradi hiyo

2. Kutoa huduma ya maji safi na salama kwa wakazi wa Wilaya wasiopata huduma ya maji.

3. Kupunguza na kuzuia milipuko ya magonjwa yanayosababishwa na ukosefu wa maji safi na salama

4. Kusimamia vyema miradi inayofanya kazi kwa kusisitiza vyombo vya kusimamia

Upatikanaji wa huduma ya maji

Wilaya ina visima vifupi 14 vinavyofanyakazi na 25 visivyofanyakazi, visima virefu 68 vinavyofanyakazi na 63 visivyofanya kazi, miradi ya bomba ya mtiririko 8 inayofanya kazi na 4 isiyofanyakazi, miradi miwili ya maji ya kusukuma kwa mashine chemichemi zilizohifadhiwa 10 na miundombinu ya kuvuna maji ya mvua katika taasisi mbalimbali. Aidha miradi yote tajwa hapo juu ina jumla ya vituo 463 ambapo vituo 316 vinafanyakazi vinakadiria kuhudumia wananchi wapatao 96,200.

Wilaya ya Kalambo inatekeleza Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Maji kwa mpango wa vijiji 10 na vijiji vya nyongeza yaani vya Quickwins. 

 

Miradi iliyotekelezwa kupitia Miradi ya maendeleo ya maji ni.

  • Mradi wa maji wa Mserereko wa Matai. Mradi huu umekamilika japo vituo vinne havitoi maji.
  • Mradi wa maji ya kisima wa kijiji cha Mwimbi; mradi huu upo hatua za ukamilishaji, marekebisho katika tenki la maji yanafanyika
  • Mradi wa maji ya mserereko wa kijiji cha Kisumba; mradi huu umekamilika na unatoa huduma.
  • Mradi wa maji Kasanga; Mradi huu umekamilika na unatoa huduma. Changamoto ni maji kutofika kwa baadhi ya siku katika vituo 2 katika kitongoji cha songambele
  • Mradi wa maji wa Kamawe; mradi huu umekamilika na wananchi wanapata huduma ya maji
  • Mradi wa maji wa Mwazye. Mradi huu umekamilika kwa ujenzi wa tenki, Miundombinu ya kutawanyia maji na vituo vya kuchotea maji. Mradi huu upo katika hatua ya kubadilisha usanifu kutoka katika ukarabati wa chanzo kilichopo kwenda chanzo kipya kutokana na chanzo hicho kuchafuliwa na mifugo pamoja na binadamu kutengeneza njia ya kwenda katika vijiji vya pembezoni

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA KALAMBO YAFIKIA ASILIMIA 120 UKUSANYAJI WA MAPATO.

    June 27, 2025
  • HALMASHAURI YA KALAMBO YAFIKIA ASILIMIA 120 UKUSANYAJI WA MAPATO.

    June 27, 2025
  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.