• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Timu Zatahadharishwa Kutoingia Uwanja Wa Nelson Mandela Na Matokeo

Posted on: December 29th, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ametoa tahadhari kwa timu za Yanga na Tanzania Prison kutoingia uwanjani na matokeo katika mchezo wao wa raundi ya pili utakaochezwa katika Uwanja wa Nelson Mandela mjini Sumbawanga siku ya Alhamisi ya tarehe 31.12.2020

Amesema kuwa timu hizo mbili zilipokutana katika raundi ya kwanza jiji Dar es Salaam hakukuwa na mbabe hali ambayo inaifanya vinara wa ligi hiyo kukamia kupata pointi tatu ugenini huku Tanzania Prison ikikataa kuwa mnyonge katika uwanja wa nyumbani na hivyo kutokubali kufungwa na kuwakumbusha kuwa mchezo una matokeo matatu na kila timu iwe tayari kuyapokea matokeo hayo.

“Wapenzi wa mpira wa miguu wafike kwa wingi waweze kujione mshindi atakuwa ni nani, kwasababu mpira una matokeo matatu, kuna kushinda, kufungwa lakini pia kuna sare, timu zote mbili zijiandae kwa matokeo hayo matatu, isije mtu anakuja na matokeo yake hapa kwamba mimi nitashinda halafu akashindwa halafu akafanya fujo, sasa sisi vyombo vya ulinzi na usalama tumeshajiweka vizuri kwa fujo zozote ambazo mtu amejiandaa nazo aziache huko huko,” Alisisitiza.

Mh. Wangabo ameyasema hayo alipokwenda kuutembelea Uwanja wa Nelson Mandela ili kujionea maandalizi ya uwanja huo kabla ya mechi ya ligi kuu baina ya Young Africans Sports Club na Tanzania Prisons itakayochezwa katika uwanja huo kabla ya mkesha wa mwaka mpya wa 2021.

Aidha aliongeza kuwa mpira ni furaha na pia ni urafiki ingawa kuna ushindani na kushinda na kushindwa ni matokeo ya mchezo na hivyo kuwakaribisha wapenzi wa mpira kutoka meneo tofauti ya ndani ya mkoa Pamoja na mikoa ya jirani ili kushuhudia historia ikitengenezwa katika uwanja wa Nelson Mandela Mjini Sumbawanga kabla yam waka 2020 kuisha.

Matangazo

  • Wanafunzi waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2021-Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo December 18, 2020
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2021-Tanzania Bara December 18, 2020
  • Tangazo Kwa Wafanyabiashara Wote Wilayani Kalambo Kulipa Vibali Vya Kununua Mazao. July 25, 2019
  • Tangazo La Wadaiwa Sugu Wa Kodi Ya Aridhi Viwanja na Mashamba. October 23, 2019
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • Wananchi wasisitizwa kuitumia wiki ya sheria kama fursa ya mafunzo ya bure ya sheria

    January 25, 2021
  • Kijiji Kitakachokaribisha “Lambalamba” Kuwekwa Chini Ya Ulinzi

    January 23, 2021
  • Wakurugenzi Wa Halmashauri Watakiwa Kujieleza Kwa Kukiuka Maagizo Ya Makamu Wa Rais.

    January 21, 2021
  • RC Wangabo awaonesha wananchi njia ya kupata kipato kikubwa kwa nguvu ndogo.

    January 19, 2021
  • Tazama Zaidi

Video

LIVE: Maadhimisho ya Miaka 57 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • TEHAMA

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.