• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Ukaguzi wa Dawa kwenye vituo vya kutolea Huduma – Rukwa

Posted on: January 15th, 2021

Mkurugenzi wa huduma za Afya Ustawi wa Jamii na Lishe Dr. Ntuli Kapologwe amewaagiza waganga wafawidhi wote wa vituo vya kutolea huduma za Afya kuhakikisha wanafanya ukaguzi wa dawa (Medicine Audit) kila robo mwaka kwa mujibu wa sheria na taratibu.

Dr. Ntuli ameyasema hayo wakati alipokua akiongea na timu za usimamizi wa huduma za afya Mkoani Rukwa wakati wa ziara ya usimamizi shirikishi mkoani humo tarehe 02/01/2020.

Akizungumza katika kikao hicho Dr.Ntuli amesema hakutakuwa msamaha kwa kituo cha kutolea huduma ambacho hakitafanya ukaguzi wa dawa na taarifa ya kila Mkoa kuwasilishwa Ofisi ya Rais – TAMISEMI.

“ Kwa kufanya ukaguzi wa dawa tutaweza kujua namna dawa zilivyotumika, dawa gani eneo fulani inatumika sana na kwanini na hivyo kubaini mahitaji zaidi kwa wakati unaokuja.

Pia itawezesha kufahamu kiasi cha Fedha kilichopatikana kutokana na mauzo ya dawa ambacho kitatumika tena kurudi kununua dawa MSD’ alisisitiza Dr Ntuli.

Aliongeza kuwa ukaguzi wa dawa ukifanyika kikamilifu itasaidia Kubaini upotevu wa dawa pamoja na wizi wowote uliotokea katika kituo husika.

Dr. Ntuli alisistiza umuhimu wa kufanya ukaguzi wa dawa kuwa ni pamoja na kuwa na uwezo wa kufanya mlinganisho wa kiasi cha dawa kilichotumika sambamba na wagonjwa halisi waliohidumiwa na kuwa na takwimu halisi za Serikali katika kutoa Fedha za dawa.

Aidha Dr. Ntuli aliwakumbusha wataalam wa afya kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dr. John Joseph Pombe Magufuli mwezi Novemba 2020 alitoa shilingi Bil. 41 kwa ajili ya ununuzi wa dawa na fedha hizo zimeelekezwa MSD.

‘Fedha hizo zitawezesha kila kituo kupata dawa za kutosha sasa ni jukumu la kila kituo kuhakikisha kinazungusha(REVOLVE) fedha baada ya kuwa wametoa huduma kwa kurejesha MSD ili upatikanaji wa dawa uwe endelevu na wananchi waweze kupata dawa wakati wote watakapohitaji” alisisitiza Dr Ntuli.

Matangazo

  • Wanafunzi waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2021-Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo December 18, 2020
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2021-Tanzania Bara December 18, 2020
  • Tangazo Kwa Wafanyabiashara Wote Wilayani Kalambo Kulipa Vibali Vya Kununua Mazao. July 25, 2019
  • Tangazo La Wadaiwa Sugu Wa Kodi Ya Aridhi Viwanja na Mashamba. October 23, 2019
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • Mawasiliono Ya Barabara Katika Kata Ya Ulumi Yakatika Baada Ya Daraja Kusombwa Na Maji.

    February 21, 2021
  • Rias Magufuli: Unaweza ukafa kwa malaria, unaweza ukafa kwa kansa, ukafa kwa magonjwa mengine

    February 19, 2021
  • Watendaji 93 Kukamatwa Kwa Kula Fedha Za Serikali.

    February 12, 2021
  • Dc Atoa Siku 14 Watumishi Wanaoishi Sumbawanga Kuhamia Kalambo

    February 05, 2021
  • Tazama Zaidi

Video

LIVE: Maadhimisho ya Miaka 57 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • TEHAMA

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.