• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

MAPOROMKO YA KALAMBO FALLS YAVUTA HISIA ZA WAGENI KUTOKA NCHI ZA NJE

Posted on: July 3rd, 2019


  • Serikali kupitia wizara ya mali asili na utalii hapa nchini imeshauriwa kuwekeza zaidi kwenye maporomoko ya kalambo falls yalipo mkoani Rukwa kwa kuyatangaza na kuweka miundombunu rafiki ambayo itasaidia kuongeza idadi kubwa ya watalii kutoka ndani na nje ya nchi kutembelea maeneo hayo kwa wingi na hatimaye kuongeza pato la taifa. 

Maporomoko ya Kalambo falls ni ya pili afrika  kwa urefu kutoka maji yanapoanzia kumwagika hadi yanapodondokea kwa mita 235na upana wa mita 3.6 hadi mita18, licha ya maporoko hayo kuwa naurefu na kuwa  kivutio  kikubwa kwa watalii bado kumekuwa na changamoto ya miundombinu kuto boreshwa  ikiwemo barabara pamoja na sehemu za kufikia wageni.

Badhi ya watalii wa ndani  kutoka hapa nchini wametembelea  maporomoko  hayo  na  kuishauli  serikali kupitia  wizara  ya  mali  asili  na utalii  kuanza kufikiria  kuwekeza zaidi katika  maaeneo hayo  kutokana na maporomoko hayo  kuwa  kivutio kikubwa  kwa afrika na dunia kwa ujumla.

Fransista Makoe kutokaTamisemi idara ya usitawi wa jamii amesemaendapo serikali ikiwekeza kwa kwa kiwangokikubwa  katika  maeneo hayo  mapato  yatapatikana na kusaidia kuhudumiajamii.

Kwa upande  wake  show Nshurume kutoka nchini  Swaziland amesema amevutiwa  na  maporomoko  hayo  kutokana na  maeneo  hayo  kuwa mazuri nayanayo vutia na kuwasihi watu wengine  kufika  kwenye  maeneo hayo iili kuona madhari yake.

Mkurugezi  mtendaji  wa halmashauri ya wilaya ya kalambo Msongera Palela amewataka wananchi  kujenga  mazoea  kutembelea vivutio vya ndani  hususani  katika maporomoko  hayo ambayo ni ya pili  Afrika kwa urefu.

‘’Nimefika na wageni  hawa lengo ikiwa  ni kuwaonesha  kileamcho  kipo  kwenye  maeneo  hayo  kwani  mazingira  mazuri  yenye  maporomoko yanayovutia kwa kila sehemu hivyo ningewasihi wananchi  kuendelea  kufika  kwenye maeneo  haya ili kujiuonea majabu  ya  mwenyezi  mungu’’alisema palela

Aidha  amesema  kwa kutambua umuhimu  wa  maromoko hayo  serikali  kupitia   wakala  wa  huduma  za uhifadhi  wa  misitu Tanzania TFS imeanza  kufanya  marekebisho  ya  miundombinu  kwa  kujenga  hotel  pamoja na ngazi  za kushikia kwenye  maeneo husika.

Hali kadharika endapo wananchi wakiendelea kujengamazoea ya kutembelea vivutio  mbalimbali vilipo hapa nchini sambamba na kuvitangaza serikali itapata mapato  mengi sambamba na  watalii  kutoka  nje ya  nchi kuongezeka maradufu.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.