• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Asilimia 60.2 Ya Wanafunzi Mkoani Rukwa Wasajiliwa Na Kujiunga Na Darasa La Kwanza

Posted on: January 10th, 2024

Serikali mkoani Rukwa imekamilisha ujenzi shule mpya 12 za msingi na sekondari ambazo zimejengwa kwa thamani ya shilingi billion 6.064 na kuwawesha wanafunzi wa darasa la kwanza 30.922 sawa na asilimia 60.2 Kuanza masomo ya elimu ya msingi

Mapema akiongea ofisini kwake mkuu wa mkoa wa Rukwa Makongoro Nyerere amesema kwa upande wa Darasa la awali mkoa ulilenga kuandikisha Wanafunzi 57,006 kati yao jinsia ya kiume wakiwa 27,885 na jinsia ya kike wake wakiwa 29,121) ambapo hadi kufikia tarehe 04 Januari, 2024 Wanafunzi 24,033 wa Darasa la awali sawa na asilimia 42.1 walikuwa wameandikishwa kuanza darasa la awali.

‘’ Kwa upande wa Darasa la kwanza Mkoa ulilenga kuandikisha Wanafunzi 51,347 kati yao jinsia ya kiume wakiwa 25,254 na jinsia ya kike wakiwa 26,093) ambapo Mpaka tarehe 04 Januari, 2024 Jumla ya Wanafunzi 30,922 walikuwa wameandikishwa kujiunga na darasa la kwanza sawa na asilimia 60.2’’. alisema Makongoro.

Aidha amesema Kwa upande wa Wanafunzi wenye Mahitaji Maalumu Jumla ya Wanafunzi wa Darasa la awali 167 kati yao jiansia ya kiume wakiwa 69 na wakike 98) wameandikishwa na kwa upande wa Darasa la kwanza kwa Wanafunzi wenye Mahitaji maalum jumla ya Wanafunzi 91, wameandikishwa.

Hata hivyo Jumla ya Wanafunzi 31,182 waliofanya mtihani wa kuhitimu darasa la Saba mwaka 2023, kati ya hao Wavulana walikuwa 13,946 na Wasichana 17,236 sawa na asilimia 97.2 baada ya matokeo ya Mtihani Jumla ya wanafunzi/watahiniwa 24,415 wakiwemo wavulana 11,270 na wasichana 13,145 walifaulu sawa na asilimia 78.30 na kuchaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.