• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

BILIONI 12 KUBORESHA BARABARA ZA TARURA RUKWA

Posted on: September 7th, 2022

Serikali ya Awamu ya Sita imeupatia mkoa wa Rukwa shilingi Bilioni 12 kwa ajili ya ujenzi na matengenezo ya barabara chini ya Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA) kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

Akizungumza kwenye hafla ya utiaji saini mikataba 29 ya ujenzi na matengenezo ya barabara kati ya TARURA na wakandarasi leo (07.09.2022) mjini Sumbawanga Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Queen Sendiga alisema fedha zilitolewa  zinatokana na mfuko wa barabara na tozo ya mafuta.

Sendiga aliwataka wakandarasi hao kwenda kutekeleza mikataba ya ujenzi na ukarabati wa barabara za vijijini na mitaani kwa weledi na ubora wakizingatia kuwa fedha za watanzania ndizo zinatekeleza miradi hiyo.

“Tuna fedha shilingi Bilioni 12 zimetengwa kwenye bajeti ya mwaka 2022/23 kati hizo Bilioni Tano zimetokana na tozo ya mafuta kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa barabara hizi. Sasa lazima tukazifanyie kazi ili wananchi wapate manufaa ”alisema Sendiga.

Mkuu huyo wa Mkoa alitoa agizo kwa wakandarasi kuhakikisha miradi hiyo inakamilika ndani ya miezi sita ya mkataba na kuwa hatopenda kusikia mkandarasi akiomba nyongeza ya muda wa kukamilisha mradi.

Akitoa taarifa kwenye hafla hiyo, Meneja wa TARURA Rukwa Mhandisi Samson Kalesi alisema jumla ya mikataba 29 yenye thamani ya shilingi Bilioni Sita  kwa awamu ya kwanza imesainiwa kwa ajili ya ujenzi na matengenezo ya barabara kwenye halmashauri nne za Rukwa.

Mhandisi Kalesi alitaja shughuli zitakazofanyika kuwa ni ujenzi wa barabara mpya za lami (km 0.5) zitajengwa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga, (km 1.5) zitajengwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo.

Aidha Mhadisi Kalesi aliongeza kusema kuwa (km 265.95) zitajengwa kwa kiwango cha Changarawe, (km 140.01) zitafanyiwa matengenezo ya maeneo korofi , (km 220.22) zitafanyiwa matengenezo ya kawaida na makaravati 67 na madaraja matatu yatejengwa.

“Leo tunashuhudia utiaji saini wa mikataba  29 kati ya TARURA na wakandarasi yenye jumla ya Shilingi 6,182,956,557.60 kwa ajili ya kutekeleza kazi mbalimbali za ujenzi na matengenezo ya barabara, madaraja na makalavati, mikataba hii ni ya awamu ya kwanza ambayo ni sawa na asalimia 60% ya kazi zote zitakazo tekelezwa kwa mwaka wa fedha 2022/2023” alisema Mhandisi Kalesi.

Kwa upande wake mwakilishi wa wakandarasi mkoa wa Rukwa Gaudence Kipesha alisema wanaipongeza TARURA kwa kuandaa mikataba inayoeleweka na yenye uwazi tofauti na miaka ya nyuma na kuwa wataenda kuitekeleza kwa ubora na kuzingatia muda uliokubalika .

TARURA Mkoa wa Rukwa inahudumia barabara za lami zenye urefu wa kilometa 41.817, changarawe zenye urefu wa kilometa 847.18 na barabara za vumbi zenye urefu wa kilometa 1418.66

Mwisho.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.