• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

BILIONI 1.6 ZATOLEA NA SERIKALI KUJENGA CHUJIO LA MAJI KATIKA MJI MDOGO WA MATAI.

Posted on: January 7th, 2026

Wakala wa maji safi na usafi wa mazingira (RUWASA) wilayani Kalambo mkoani Rukwa imeanza ujenzi wa mradi wa miundombinu ya kutibu maji katika milima ya Singiwe kata ya Lyowa utakao gharimu fedha kiasi cha Shilingi 1,623,031,819 hatua itakayo wezesha wananchi kuondokana na adha ya kutumia maji yaliyo changanyikana na tope wakati wa msimu wa mvua za masika.

Kaimu meneja wa wakala ya maji safi na usafi wa mazingira (RUWASA) wilayani humo ndugu Francis Mapunda, amebainisha kuwa mradi huo utatekelezwa kwa muda wa mwaka mmoja na kwamba lengo ni kuwawezesha wananchi kuondokana na adha ya kutumia maji yaliochanganyikana na tope wakati wa msimu wa masika.

Aidha amebaimisha kuwa huduma ya upatikanaji wa maji wilayani humo imeongozeka kwa asilimia 81 ambapo vijiji 83 kati ya vijiji 111 vimepata huduma ya maji.

Baadhi ya wananchi wilayani humo ambao licha ya kuipongeza serikali kwa hatua hiyo wameomba mradi huo kuharakishwa ikiwa ni pamoja na kudhibiti wananchi wanaoendesha shughuli za kibinadamu  kando ya mito ikiwemo kilimo na mifugo kwenye vyanzo vya maji.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • BILIONI 1.6 ZATOLEA NA SERIKALI KUJENGA CHUJIO LA MAJI KATIKA MJI MDOGO WA MATAI.

    January 07, 2026
  • BILIONI 1.6 ZATOLEA NA SERIKALI KUJENGA CHUJIO LA MAJI KATIKA MJI MDOGO WA MATAI.

    January 07, 2026
  • WAZAZI NA WALEZI WATAKIWA KUWAEPUSHA WATOTO DHIDI YA MATUMIZI YA SIMU ZA MKONONI

    November 30, 2025
  • KALAMBO YAANZISHA MKAKATI KUPATA MAKOCHA NA WAAMUZI MCHEZO WA NETBOLI.

    November 25, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.