• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Boda Boda Achene Kupenda Sketi Za Watoto Wa Kike Mtaishia Jela’’ Rc Wangabo’’

Posted on: June 29th, 2020



  

SERIKALI mkoani Rukwa imewaonya waendesha pikipiki maarufu kama boda boda kuacha mara moja kujihusisha kimapenzi na wanafunzi hasa wa shule za msingi na sekondari kwani vitendo hivyo vitawaharibia maisha,kujikuta wakiishia jela na kuziacha familia zao zikiteseka bila msaada wowote.

Mkuu wa mkoa huo Joachim Wangabo alitoa onyo hilo hivi karibuni wakati akikabidhi mkopo wa pikipiki 35 kwa waendesha boda boda ambao ni wanachama wa New bodaboda Saccos iliyopo Manispaa ya Sumbawanga,pikipiki zilizotolewa na Manispaa hiyo ikiwa ni utekelezaji wa kutoa mikopo isiyo na riba kwa makundi maalumu ya vijana,wanawake na watoto katika Manispaa hiyo.

  

Alisema kuwa baadhi ya waendesha boda boda hao hao wamekuwa na tabia ya kujihusisha kimapenzi na wanafunzi kitendo ambacho ni hatari kwao,nayeye akiwa ni mkuu wa mkoa huo kamwe hatakubali kuona vitendo hivyo ambavyo niwaharibia masomo wanafunzi vikiendelea.

  

‘’wapo baadhi yenu wamekuwa kikwazo katika kampeni yetu inayoitwa ‘Mwache mtoto asome’ kwani wamekuwa wakijihusisha na wanafunzi kimapenzi,siwezi kuwavumilia……huwa ninawaona mnawabeba wanawake wakubwa,tena warembo kweli wamevaa na mawigi wamependeza si hao wawe wapenzi wenu muwaache wanafunzi wasome?’’……..alihoji mkuu huyo wa mkoa.

 

Aidha aliwataka pia waendesha pikipiki hao kuzingatia sheria za usalama barabarani pindi wanapo endesha bodaboda hizo kwani wamekuwa wakipuuza sheria hizo kwa makusudi na kusababisha ajali,majeruhi na vifo vinavyoepukika kutokana na uzembe wao.

 

Wangabo alisema kuwa katika kipindi cha Juni 2019 hadi Juni 2020 mkoa mzima zilitokea ajali 32 za boda boda na jumla ya watu 12 walipoteza maisha kutokana na ajali hizo hivyo kuna haja ya kuendelea kuchukua tahadhari kwa kutii sheria za usalama barabarani ili kupunguza ajali hizo.

 

Awali akitoa taarifa fupi mkurugenzi wa halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga Jacob Mtalitinya alisema kuwa halmsahuri hiyo katika mwaka wa fedha 2019/2020 tayari makundi ya walemavu,wanawake na vijana wamekwisha pata mikopo yenye thamani ya shilingi milioni 235.1

 

Alisema kuwa mikopo hiyo ambayo ni fedha taslimu na vitendea kazi vimewanufaisha mtu mmoja mmoja wapatao 378 na maisha yao yameanza kubadirika na kuwa bora,huku baadhi yao wakianza kufanikiwa kurejesha mikopo hiyo isiyo na riba.

 

Mwisho

  

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.