• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Chama Cha Mapinduzi CCM Wilayani Kalambo Chajidhatiti Kushinda Kwa Asilimia 99 Katika Uchaguzi Wa Serikali Za Mitaa.

Posted on: September 26th, 2019


Chama cha Mapinduzi CCM Wilayani Kalambo Mkoani Rukwa kimeuhakikishia umma kuwa kitashinda kwa kishindo katika uchaguzi wa serikali za mitaa kutokana na utekelezaji sahihi wa ilani yake ya uchaguzi huku kikiwataka wananchi kujitokeza kwa wingi katika zoezi la kujiandikisha na kupiga kura ifikapo 24 Novemba kuwachagua viongozi bora kwa maendeleo ya Taifa.   

Wilaya ya Kalambo yenyeVitongoji 422, Vijiji 111, kata 23 na Tarafa 4 ambazo ni Kasanga, Matai, Mwimbi na Mambwe, inakadiriwa kuwa na jumla ya watu 271,393 wakiwemo wanaume 131,285 na wanawake 140,108 ambao wote wanatakiwa kuhamasishwa vilivyo ili washiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa mwaka huu.

Katibu wa Siasa na Uenezi  Wilayani  Kalambo  John Mbita amesema chama kimejidhatiti vilivyo kuelekea kwenye ushindi kwani Mwenyekiti wa chama hicho kitaifa Mh. Rais Wa Jamhuri ya mungano wa Tanzania Dr,John  Pombe  Magufuli  ametekeleza  kwa  asilimia  mia moja ahadi zote.

 ‘’Kila mwananchi  ana haki sawa ya kugombea na kupiga kura, kama mwana Falisafa mkongwe wa Marekani kutoka Chuo Kikuu cha Havard Profesa John Luke kupitia nadharia yake ya uwakilishi [Represantation theory]. Hivyo wananchi wote tujitokezeni  kwa wingi katika  kujiandikisha na kupiga kura kwani ni  haki yetu ya msingi ifikapo  tarehe 24 Novemba 2019 ili tupate viongozi bora watakao tuletea maendeleo.’’Alisema Mbita

Wakiongea kupitia maadhimisho ya uzinduzi wa ligi ya mapinduzi Cup yaliyofanyika  katika kata  ya Mwazye Wilayani  humo,viongozi  na makada  wa chama cha mapinduzi  CCM, wamesema kimsingi kila  mwananchi anahaki ya kugombea na kupiga kura.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.