• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Chama Cha Mapinduzi Wilaya Ya Kalambo Chaanzisha Ligi Ya Mapinduzi Cup

Posted on: September 25th, 2019


Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Kalambo Mkoani Rukwa kimewataka vijana kujenga mazoea ya kushiriki kwenye michezo mbalimbali ambayo imekuwa ikianzishwa na wadau kwa lengo la kuwasaidia kuimarisha afya zao na kujiajiri wenyewe.

Kumekuwepo na changamoto ya baadhi ya vijana kushindwa kushiriki kwenye michezo ambayo imekuwa ikianzishwa na wadau mbalimbali kutoka ndani na nje ya mkoa  na hivyo  kupelekea Chama cha Mapinduzi wilayani humo kuchukua hatua ya kuanzisha ligi ambayo itashirikisha zaidi ya timu sita katika  Tarafa  ya Mwazye wilayani  humo.

Akizindua michezo hiyo Katibu wa itikadi, siasa na uenezi wilayani humo John Mbita, amesema lengo la michezo hiyo ni kuhakikisha vijana wanashiriki kikamilifu kwenye michezo

‘’Chama cha Mapinduzi kata ya Mwazye kimekusudia kwa nia ya dhati kuanzisha ligi ya kipekee yenye kuunganisha jamii kwa masilahi mapana ya jamii nzima ikiwemo kufungua fulsa ya michezo kama ajira kwa vijana na kukuza vipaji kwa kuwatangaza nje na ndani  kupitia vyombo  vya habari’’ alisema Mbita.

Amesema dira kuu ya fainali ya mapinduzi cup mwaka huu ni kuunda timu ya kata yaani combined team na kuiwezesha kushiriki ligi kubwa za kiwilaya na mkoa pia.

Katibu wa vijana wa Chama cha Mapinduzi, CCM wilayani humo Peter Monko, amesema vijana wanatakiwa kushiriki kwenye michezo kwa lengo la kuwasaidia kujiajiri pamoja na kuimarisha afya zao.

Kata ya Mwazye inaundwa na matawi manne ya CCM, ambayo ni Kazila,nMwazye, Msoma na Mpenje. Hivyo ligi ya mapinduzi inajumuisha timu nne ambapo kila kijiji kimetoa timu moja kwa kingilio cha shilingi elfu thelathini (30,000/=).

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.