• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Das Kalambo Awagiza Watumishi Wa Umma Kusajili Simu Kwa Njia Ya Alama Za Vidole .

Posted on: August 19th, 2019


Uongozi wa serikali wilayani Kalambo mkoa wa Rukwa umewaagiza watumishi wote wa umma wilayani humo kusajili laini za simu zao za mitandao mbalimbali kwa njia ya alama za vidole ili kuimarisha utendaji wao bora wa kazi.

Akizindua zoezi la mkakati wa kusajili laini za simu wilayani kalambo katibu tawala  wilayani wilayani humo Frank Sichalwe, amesema usajili huo utawawezesha watumishi hao kutoa huduma inayostahili kwa wakati unaostahili na kusaidia kuchochea shughuli za maendeleo ya jamii.

Amesema zoezi hilo litatawahusu watu wote kutoka maeneo ya vijijini na mijini na kusema   kwa sasa  wameanza na watumishi  wote  wilayani humo kwa kupatia elimu.

Baadhi ya wakazi wa mji mdogo wa matai wilayani kalambo mkoa wa Rukwa wameelezea umuhimu wa kusajili laini za simu kwa njia ya alama za vidole na kusema utaratibu huo utalinda usalama wa mteja kutokea uwezekano wa kufanyiwa vitendo vya uhalifu na watu wenye nia ovu.

Mkuu wa mamlaka ya mawasiliano-tcra- kanda ya nyanda za juu kusini mhandisi Asajile John, amesema lengo la serikali katika kutekeleza zoezi hili ni kutoa wigo mpana wa kuthibiti uhalifu wa mtandaoni na kuthibiti matumizi mabaya ya simu .

Kawie Ntemo afisa usajili wa vitambulisho  vya nida  wilayani kalambo amewataka  wananchi  kuendelea  kujitokeza  kwa kujisajili  ilikmupata  vitambulisho vya uraia kwa lengo la kuondokana na matatizo yasio kuwa ya lazima.

mamlaka ya mawasiliano-tcra- kanda ya nyanda za juu kusini inaendesha zoezi la kuhamasisha usajili wa laini za simu kwa njia ya alama za vidole katika mikoa ya Rukwa na Katavi kabla ya ukomo wa zoezi hili mwezi december mwaka huu

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.