• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

DC. Binyura Asema Atakae Mtesa Mtoto Chamoto Kukiona.’’Kalambo’’

Posted on: August 24th, 2019


Mkuu wa wilaya ya kalambo Julieth Binyura amewataka wazazi na walezi mkoani Rukwa kuwalea watoto wao katika malezi bora na kujiepusha na vitendo vya ukatili ikiwemo vipigo sambamba na kujiepusha na migogoro ya kifamilia ambayo imekuwa ikijitokeza na kusababisha tatizo la watoto wa mitaani.

Chimbuko la haki za mtoto lilitokana na mkataba wa kimataifa wa haki za mtoto ulioidhinishwa na Nchi  wanachama wa umoja wa mataifa mnamo novemba 20,1989 na kuridhiwa na serikali ya jamhuri ya mungano wa Tanzania Juni10,1991.

Hata hivyo kwa  kuzingatia  umuhimu wa  haki  za watoto umoja Afrika ulipitisha mkataba wa afrika wa  haki na usitawi wa mtoto mwaka 1990 na huku mkataba huo ukilenga kuhakikisha kuwa mkataba wa kimataaifa wa  haki  za mtoto unatekelezwa kwa  kuzingatia mila ,desturi,na tamaduni za kiafrika .

Kwa ujumla mikata yote  miliwili ililenga  kutoa majukumu  kwa  serikali zinazoridhia kulinda na kuendeleza haki za mtoto ili kutekeleza mikataba hiyo ambapo serikali  ya  jamhuri ya Tanzania iliandaa sera ya  maendeleo ya mtoto 2008 na kutenga, na kutunga sheria ya  mtoto Na21 ya mwaka 2009 na kanuni zake ilikuweza kutekeleza haki hizo mihimu.

Akizindua mradi wa  kutambua  haki  za watoto uliokuwa  umeandaliwa  na shirikia la Future and Hope-(BETHANIA HOMES), mkuu  wa  wilaya  hiyo  Julieth Binyura  amesema wazazi na walezi wanatakiwa kuhakikisha watoto wao wanaendelezwa katika nyanya za kielimu,kimaadili,na kiimani.

‘‘niwasihi wazazi na walezi kuhakikisha watoto wanapewa nafasi ya kushiriki na kushirikishwa katika masuala yanayowahusu ikiwa ni pamoja kutoa maoni ,kusikilizwa na  kushiriki katika maamuzi mbalimbali katika familia na jamii kwa ujumla ‘’alisema  Binyura.

Amesema  katika  sheria ya  mwaka  2009 mtoto  anahaki  mbalimbali  katika  jamii ikiwemo kupata  haki  ya  kuishi,kupumzika kuheshimiwa na kuthaminiwa.

Joseph Kasaila mratibu wa tasisi ya Future and Hope –BETHANIA HOMES,amesema wamelazimika  kupeleka mradi huo utahudumu katika eneo la Matai wilayani kalambo na kusema lengo kubwa ni  kuhakikisha wananchi wanapata ulewa juu ya umuhimu wa kuwalea watoto kwa lengo la kupunguza wimbi la watoto wa mitaani.

‘’mfano watoto  wanao pitia adha  hiyo  ni wanaopitia hali hii  ni  wale ambao waliofiwa na wazazi wote wawili(yatima) watoto wanaohusishwa na huduma za kingono  kinyume na  sheria ,watoto wanaofanya kazi mogodini ,watoto wanaokinzana na sheria ,watoto wanaoishi na  kufanya kazi mitaani ,watoto wenye ulemavu na  watoto wenye mambukizi  ya VVU na UKIMWI.’’alisema Kasaila

Kaimu kurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo yasita Nkyabonaki , amesema kila  mzazi  anatakiwa  kuhakikisha  waatoto  wanalelewa  katika  misingi  bora  na tabia  njema.

 ‘’marekebisho yanaanziakatika ngazi ya familia na jamii ,ambapo wazazi /walezi na wanajamii wanajukumu kubwa la kuhakikisha kuwa kila mtoto analelea na kukua kwa  kufuata maadili,mila ma destruri za jamii husika.’’alisema Nkyabonaki.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.