• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

DC Binyura Ataka Wananchi Wa Kijiji Cha Kipwa Kuhamia Maeneo ya Miinuko.

Posted on: April 15th, 2020


Mkuu wa wilaya ya Kalambo Julieth Binyura amewataka wananchi wa kijiji cha Kipwa kilichopo mpakani mwa nchi ya Tanzania na Zambia mwambao wa ziwa Tanganyika kuhamia katika maeneo ya miinuko kwa lengo la kuondokana na adha ya kujirudia kwa matukio ya  nyumba zao kuzama kwa maji.

Hatua hiyo inakuja baada ya Zaidi ya nyumba 79 kubomoka na kaya themanini kukosa makazi kutokana na nyumba zao kubomoka kufuatia maji ya ziwa Tanganyika kuzingira makazi yao na kupelekea baadhi yao kukosa makazi.

Akiwa ofisini kwake mkuu wa wilaya hiyo Julieth Binyura amesema wananchi hao wanapaswa kuhama maeneo hayo kutokana na kuwa  hatarishi kwa maisha yao na kuwasihi kuhamia katika  maeneo ya milima iliyopo karibu na kijiji chao ambako maji ya ziwa hilo hayawezi kufika kwa urahisi kuliko hivi sasa.

Awali wakizungumzia mkasa huo viongozi wa serikali ya kijiji hicho, walisema tukio kama hilo ni la pili kujitokeza, ambapo kwa mara ya kwanza liliwahi kutokea mwaka 1984.

 “tuna kila sababu ya kuhamia maeneo ya milimani na kuanzisha makazi ya  kudumu,  kwani mpaka hivi sasa  wananchi wetu hawana makazi tena kutokana na  nyumba zao kubomoka kutokana na maji ya ziwa Tanganyika kuhamia kijijini” alisema Divan Mwimanzi kaimu mwenyekiti  wa kijiji hicho.

Mtendaji wa kijiji hicho Leo Samsoni Katonto , alisema watu wote waliokubwa na kadhia hiyo wamehifadhiwa kwenye majengo ya taasisi za dini na serikali wakati wakisubiri maji kupungua.

“nyumba 80 zimebomoka na kaya 80 zimekosa makazi na nyumba 60 ziko hatiani kuanguka na watu wote waliopatwa na adha ya kubomokewa nyumba zao tumewahifadhi kwenye majengo ya taasisi za serikali na za dini” alisema Katonto.

Afisa tarafa ya Kasanga Edrue Ngindo, alikiri kutokea adha hiyo na kusema wamewaelekeza wananchi kuhamia katika maeneo ya miinuko ili kuepukana na adha hiyo na kusema watu wengi wamekosa makazi kutokana na maji ya ziwa hilo kuzingira maeneo ya makazi yao.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.