• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

DC Kalambo Asitisha Vibali Vya Uingizaji Mifugo Kijiji Cha Madibila.

Posted on: July 1st, 2023

Mkuu wa wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa Lazaro Komba amemwagiza mkurugenzi mtendaji wa Halmshauri ya Kalambo kusitisha utolewaji wa vibari vya kuingiza mifugo katika kijiji cha Madibila kutokana kijiji hicho kuwa na mgogoro kati ya wafugaji na wakulima uliosababisha baadhi wafugaji kupigwa na kuumizwa kutokana na kulisha na kupitisha mifugo kwenye mazao ya wakulima.

Ameyasema hayo kupitia mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji cha Mabidila wilayani humo na kusisitiza kila mfugaji kutumia eneo lake katika kulisha mifugo yake.

Alisema kuwa mfugaji ni lazima aitathimini idadi ya mifugo aliyonayo ukilinganisha na eneo lake la malisho alilonalo na kuwa kwa kufanya hivyo watapunguza migogoro kati yao na wakulima.

Mkuu huyo wa wilaya alitaka Halmashauri kuweka utaratibu mzuri kupitia serikali za vijiji kutopokea mifugo mipya toka kwa wafugaji kama watakua hawana maeneo ya kutosha ya kuchungia.

Kaimu mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya hiyo Nicholaus Mlango aliunga mkono kauli hiyo ya mkuu wa wilaya na kuwataka wafugaji kufauata taratibu za uingizaji mifugo kwenye maeneo ya vijiji ili kuepuka migogoro.

Mmoja kati ya Wananchi ambaye ni mkulima Sande Sichilima alidai kuwa kama agizo hilo la serikali la kusitisha vibali vya kuingiza mifugo katika vijiji litatekelezeka imani yake ni kuwa migogoro itatoweka kabisa.

Alisema kuwa katika kijiji  Madibira mifugo imekuwa mingi ukilinganisha na eneo la malisho na ndiyo maana migogoro imeanza kujitokeza na kuishukuru serikali kwa hatua hiyo iliyoichukua ya kusitisha vibali vipya vya kuingiza mifugo katika wilaya hiyo.

Ntinga Luhende ambaye ni mmoja wa Wafugaji alidai kuwa wao wamepokea maamuzi ya serikali na watahakikisha mifugo mipya aipelekwi katika wilaya ya Kalambo hususani kijiji cha Madibira

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.