• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

DC KALAMBO ATAKA KILA SHULE KUWA NA MASHAMBA DARASA.

Posted on: October 23rd, 2025


Mkuu wa Wilaya ya Kalambo Mkoani Rukwa Dkt. Lazaro Komba amesema Serikali imetoa mashine tano (5) kwa ajili ya kuchanganya virutubishi vya vyakula kwa ajili ya wanafunzi shuleni ambavyo vitasaidia kuimarisha afya na kufikia hali stahimilivu ya ukuaji wa mwili na akili.

Ameyasema hayo kupitia kikao cha taarifa za utekelezaji wa Afua za Lishe robo ya kwanza kwa mwaka 2025/2026 na kusisitiza Watendaji wa Kata kusimamia zoezi la utoaji vyakula shuleni ikiwemo kuweka akiba itakayo wezesha wanafunzi kupata chakula wakati wote.

 Aidha, amewaagiza Watendaji wa Kata pamoja na Waratibu wa Afua za Lishe kusimamia kwa ukaribu zaidi uanzishwaji wa mashamba darasa ikiwemo mashamba ya mboga mboga na matunda ambayo yatasaidia wanafunzi kuepukana na tatizo la udumavu na utapia mlo mkali na kuimarisha Afya zao wakati wote wawapo shuleni.

Hata hivyo kiwango cha wanafunzi wanao kula shuleni kimeongezeka kutoka asilimia 85% ya robo ya nne kwa mwaka 2024/2025 hadi kufikia asilimia 89.84 kwa robo ya kwanza kwa mwaka 2025/2026.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • TIMU YA MTAPENDA FC WILAYANI KALAMBO YAKABIDHIWA KOMBE NA MNYAMA NG’OMBE BAADA YA KUIBUKA NA USHINDI MICHEZO LIGI KUU NGAZI YA WILAYA

    October 27, 2025
  • WASIMAMAZI 1,703 WA VITUO WAPATIWA MAFUNZO JIMBO LA KALAMBO.

    October 27, 2025
  • WASIMAMAZI 1,703 WA VITUO WAPATIWA MAFUNZO JIMBO LA KALAMBO.

    October 27, 2025
  • . VIONGOZI WA DINI WILAYANI KALAMBO WATOA WITO KWA WAUMINI KUPUUZA WATU WANAO HAMASISHA VURUGU NA MAANDAMANO KUPITIA MITANDAO YA KIJAMII.

    October 26, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.