• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

DC kalambo ataka wananchi kuwalinda watoto dhidi ya mafuriko

Posted on: February 22nd, 2022

Mkuu wa wilaya ya Kalambo Tano Mwela ametoa wito kwa wananchi kuwalinda watoto dhidi ya maafa ya mvua ambayo yamekuwa yakijitokeza na kusababisha vifo vyao.

 Aliyasema hayo wakati akitoa misaada ya kibinadamu kwa wananchi waliokuwa wamepatwa na maafa ya mvua katika kijiji cha Charaminwe wilayani humo iliokuwaimenyesha katika milima ya Singiwe na kusababisha vifo vya watoto wanne kufariki dunia baada ya kusombwana na maji na kusisitiza wazazi na walezi kujenga mazoea ya kuwalinda watoto wao kwakuhakikisha wanapelekwa shule ili kutimiza ndoto zao za badae.

Licha ya hilo aliwataka wananchi kujenga mazoea ya kujenga nyumba imara na zenye ubora ili kuondokana na adha hiyo.

Aidha kwa mujibu wa Afisa maendeleo ya jamii wilayani humo Jabiry Ally alisema Kijiji cha Chalaminwe kilikumbwa na maafa kutokana na mvua iliyonyesha kwa wingi katika milima ya vijiji vya Singiwe na Chalaminwe mchana wa tarehe 16/02/2022 na kusababisha vifo kwa watoto wanne wa shule ya msingi Singiwe na nyumba nne kuharibiwa kabisa.

Alisema kufuatia tukio hilo Wataalam wa Halmashauri walifika eneo la tukio na kukutana na Uongozi wa Kata na Kijiji na baadhi ya wakazi wa Kijiji cha Kiundinamema na Mambwekenya na kushauri ujenzi wa nyumba bora na kwa kutumia saruji.

‘’Pia watalamu walitoa elimu ya kupanda miti kuzunguka makazi yao ili kuzuia madhara ya vimbunga na upepo kwa kiasi kikubwa’’

 Alisema kwa kutambua umuhimu wa watoto halmashauri ilitoa elimu kwa wazazi na walezi juu ya kuwalinda watoto ili kuwawezesha kukua katika mazingira bora ikiwemo kupata elimu stahiki.

Matangazo

  • Wanafunzi waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2021-Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo December 18, 2020
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2021-Tanzania Bara December 18, 2020
  • Tangazo Kwa Wafanyabiashara Wote Wilayani Kalambo Kulipa Vibali Vya Kununua Mazao. July 25, 2019
  • Tangazo La Wadaiwa Sugu Wa Kodi Ya Aridhi Viwanja na Mashamba. October 23, 2019
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • Wananchi Katika Kijiji Cha Singiwe Waazimia Kuchukua Hatua Dhidi Ya Wazazi Walioshindwa Kutoa Malezi Kwa Watoto Wao.

    April 04, 2022
  • Watoto Kuanzia Miaka 0-8 Walindwe Dhidi Ya Vitendo Vya Ukatili. Na Baraka Lusajo – Rukwa.

    March 29, 2022
  • Wilaya ya Kalambo Yazindua Operesheni ya Anwani za Makazi

    March 02, 2022
  • DC kalambo ataka wananchi kuwalinda watoto dhidi ya mafuriko

    February 22, 2022
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • TEHAMA

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.