• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Dc Kalambo Awaweka Ndani Watu 12 Kwa Kosa La Kufunga Barabara Kuu Ya Tanzania Na Zambia.

Posted on: August 15th, 2019



Mkuu wa wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa Julieth Binyura amewaweka ndani watu12 kwa muda usio julikana wakazi wa kijiji chaTatanda  kata ya Sopa baada ya kufunga  barabara kuu inayounganisha nchi ya Tanzania na Zambia kwa kuchimba mashimo na kuweka magogo sambamba na kusimika bendera zao katikati ya barabara hiyo na kupelekea msafara wake kukwama kwa muda.

Tukio hilo la kushangaza limetokea wakati mkuu wa wilaya hiyo Julieth Binyura akielekea katika vijiji vilivyopo mpakani mwa nchi ya Zambia naTanzania kwa lengo la kutatua kero mbalimbali za wananchi ,ambapo akiwa katika  maeneo  ya kijiji cha Tatanda alikutana na vijana wapatao kumi na mbili wakiwa  na majembe,panga na sururu wakiziba barabara kwa kuweka magogo.

Kufuatia hali hiyo alilazimika kuitisha gari ya jeshi la polisi wilaya humo na kuagiza kuwaweka ndani sambamba na kuwafunguilia kesi mahakamani ili iwefundisho kwa wengine wenye tabia chafu na ovu kama hiyo.

Akiongea mara baada ya kusitishwa kwa msafara huo,mkuu wa wilaya hiyo Julieth Binyura,amesema  kitendo hicho hakikubaliki kutokana na vijana hao kutaka kusababisha ajari na kusema kitendo cha wao  kuweka bendera na kuchimba mashimo katikati ya barabara ni kosa kisheria.’

‘’kwanza  kitendo walichokifanya cha kuzuia barabara kwa kuweka magogo ni kitendo kibaya kwani watu hawa tuwahesabu  kama watu ambao  walikuwa  na nia mbaya ,kwani hapa gari yoyote ingepita kulikuwa  nauwezekano mkubwa wa kuweza kupata ajari kutokana na magogo haya walio yaweka.’’alisema Binyura.

Amesema baada ya kukutana na hali hiyo msafara wake aliusitisha kwa muda  na kuita gari  ya polisi lengo  likiwa ni kufanya mahojiano zaidi na  vijana  hao ilikujua nia yao ya kufanya hivyo.

‘’tumewakamata wote na watafunguliwa kesi mahakamani pamoja na kuhojiana nao zaidi kuwa ni kwanini  waliamua kufanya kitendo kama hiki na wakati wameishi hapa miaka mingi na hakuna ajari mbaya  ambazo zimewahi kutokea na kama zingekuwa zimetokea wangepaswa kutoa taarifa  kwa  viongozi  husika ili kuwekewa matuta na sikama hivi walivyo fanya wao.’’alisema Binyura.

Aidha aliwataka wananchi kuacha tabia ya kujichululia sheria mkononi na badara  yake watoe taarifa kwa  viongozi wa serikali za vijiji na kata  pindi  kunapokuwa kumetokea tatizo la aina yoyote kwa lengo la kuepukana na matatizo yasiokuwa ya lazima.

‘’sasa niwatake wananchi wangu muache tabia ya kujichukulia shera mkononi  ikiwemo kuchimba barabara  bila kuzingatia athari zake’’alisema Binyura.

Mtendaji wa kata hiyo JulisTete amelani vikali kitendo hicho na kusema kitendo hicho hakikubaliki  na kuahidi kuendelea kuwalimisha wananchi kupitia mikutano ya hadhara juu  ya athari  za kujichukulia sheria mikoni.

‘’kwanza kitendo hiki nakilani vikari tena kwa nguvu zote kwani kitendo walichokifanya wananchi wangu hakikubariki hata kidogo’’alisema Tete.

Hata  hivyo imeelezwa kuwa wananchi hao walichimba barabra hiyo baada ya kuona mifugo yao ikiwemo nguruwe pamoja na kuku kugongwa na magari yanayofanya safari zake kutoka Kasesha mpakani mwanchi ya Tanzania na Zambia.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.