• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Ded Kalambo Azitaka Kamati Za Ukatili Wa Kijinsia Kutoa Elimu Sahihi Kwa Wananchi.

Posted on: September 9th, 2019


Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Kalambo Mkoani Rukwa Msongela Palela amezitaka kamati zote zinazohusika na maswala ya ukatili wa kijinsia kushirikiana na viongozi wa serikali za vijiji na kata katika kutokomeza mila potofu zilizojengeka katika jamii na kuwaagiza maafiasa maendeleo ya jamii kufuatilia na kutoa ripoti sahihi juu ya utekelezaji wa kazi hizo.

Ameyasema hayo wakati wa uzinduzi wa kamati za kupinga ukatili na mila potofu wilayani Kalambo mkoani hapa,ambapo amesema lengo la serikali ni kuhakikisha ukatili wa kijinsia na mila potofu zinatokomezwa katika jamii kwa kutoa elimu sitahiki kwa wananchi.

Amesema kamati hizo zitafanyakazi katika kata ishirini na tatu za wilaya hiyo na kuzitaka  kamati  hizo  kuhakikisha elimu waliopatiwa inawafikia wananchi wote kwa muda muafaka.

‘’yale malengo tuliojiwekea ndio tukayatekeleze na mtakapo  rudi katika  vijiji na kata  zenu nendeni mkawe walimu wazuri kwani hivi leo mmefundishwa ili mkawafundishe wengine’’.alisema Msongela. 

Mwezeshaji wa mafunzo hayo Faustina Valeli amezitaka kamati hizo kufichua matukio ya ukatili wa kijinsia sambamba na kuwachukulia hatua kali wahusika wa matukio hayo kwa kuwafikisha kwenye vyombo vya dora kwa hatua zaidi za kisheria.

Mkurugezi kutoka Asasi isiyokuwa ya kiserikali ya Sukoda Samweli Mwazunga,amesema mradi huo  utajikita zaidi katika kutoa  elimu kwa jamii  juu na namna  ya kuepuka ukatili wa kujinsia na Mila potofu katika jamii.

Mafunzo hayo yameshirikisha walimu wa shule za msingi na sekondari, Wahudumu wa afya vijijini (WAVI) , maafisa maendeleo ya jamii pamoja na watendaji .

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA KALAMBO YAFIKIA ASILIMIA 120 UKUSANYAJI WA MAPATO.

    June 27, 2025
  • HALMASHAURI YA KALAMBO YAFIKIA ASILIMIA 120 UKUSANYAJI WA MAPATO.

    June 27, 2025
  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.