• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Diamond Platnum Na Mbwana Samatta Watajwa kutokea Kwenye Michezo Ya Umitashumta,.

Posted on: June 3rd, 2021

Serikali mkoani Rukwa imeanza harakati za kuunda timu moja itakayo shiriki katika mashindano ya umitashumta ambayo kitaifa inatarajiwa kufanyika Juni 2021 mkoani Mtwara huku wanafunzi wakitakiwa kuitumia michezo hiyo katika kuimarisha afya na kuibua vipaji vyao.

Michezo hiyo inatarajiwa kuanza kufanyika mkoani mtwara kuanzia Juni 6 hadi 19 /2021, ambapo wachezaji kutoka Halmashauri 4 za Mkoa wa Rukwa.

Hata hivyo wanafunzi wapatao 400 wanashiriki kwenye michezo hiyo ambayo inafanyika katika uwanja wa shule ya sekondari Matai.

Uanzishwaji wa michezo ya UMITASHUMTA ulikuwa na lengo la kuibua, kuvitambua na kuviendeleza vipaji mbalimbali vya wanafunzi wangali wapo shuleni kwa madhumini kuwajengea Ari, uthubutu na hamasa ili kuwakuza na kuwaimarisha na kuwajengea misingi thabiti ya kimichezo.

Awali akiongea kupitia uzinduzi wa michezo hiyo mkuu wa wilaya ya Kalambo Kalorius Misungwi, alisema mashindano hayo yana umhimu mkubwa katika kuibua, kutambua na kuendeleza vipaji mbalimbali vya watoto.

“Nitumie fursa hii kuwatakia maandalizi mema katika kuendesha mashindano na kuwaandaa vijana na michezo kwa mashindano ya taifa. ni imani yangu kuwa mtauwakilisha Mkoa wetu vizuri kwa kufanya vizuri kwenye mashindano ya taifa.’’alisema Misugwi.

Aidha alisema kupitia michezo hiyo imesaidia kuibua wanamichezo mahiri nchini wakiwemo akina Juma kaseja, Jarson Tegete, Juma Abdul Telela, Renatus Njohole.

“Kwa muktadha huo niwaase tu wasimamie na kuhakikisha vijana hawa wanafikia ndoto zao. Tuangalie mifano ya wanamichezo na wasanii waliofanikiwa kama Mbwana Samatta na msanii Nasibu Abdul Maarufu kama Diamond Platnum ambao kupitia vipaji vyao wanapata fedha nyingi na wameajiri watu wengi. Hivyo tusichukulie kawaida vipaji vya watoto hawa kwa kuwa vinaweza kubadilisha maisha yao na kuchangia uchumi wa Taifa letu”. Alisema Misungwi

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.