• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

HALI YA UPATIKANAJI WA DAWA MUHIMU WILAYANI KALAMBO WAFIKIWA 84%

Posted on: August 1st, 2025

 

Mkuu wa wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa Dkt Lazaro Komba amesema hali ya upatikanaji wa dawa muhimu kwenye vituo vya kutolea huduma za afya wilayani humo umefikia asilimia 84 ambapo jumla fedha shilingi 55,469,877.37 kwa mwaka wa fedha 2024/2025 zimetumika kununua dawa,vifaa tiba na vitenganishi kutoka MSD hatua iliowezesha wananchi kupata huduma kwa urahisi.

Ameyasema hayo wakati wa uzinduzi wa bodi ya afya wilaya humo na kusema licha ya hilo serikali imepokea fedha kiasi cha shilingi 700,000,000/= kwa ajili ya ununuzi wa vifaa tiba na kwamba hadi kufikia juni 2025 jumla ya shilingi 83,624,453.92 zimetumika kwa jili ya ununuzi wa vifaa tiba kwenye zahanati.

Pamoja na mambo mengine ametumia fursa hiyo kuwataka wajumbe wa bodi ya afya wilayani humo kuwa mabalozi wazuri katika uzingatiaji wa sheria na miongozo ya serikali wakati wa usimamazi wa majukumu yao ikiwemo kusimamizi bajeti za vituo vya kutolea huduma za afya kwa kushirikisha jamii.

Mganga mkuu wa halmashauri hiyo Dkt Imanuel Mhanda amesema licha ya hilo vituo vya kutolea huduma za afya wilayani humo kwa mwaka wa fedha 2024/2025 vimefanikiwa kukusanya fedha shilingi 45,406,016,.06 sawa na asilimia 67 kupitia vyanzo vyake vya makusanyo.

Hata hivyo Halmashauri imefanya uchaguzi wa kuchagua viongozi wa bodi ya afya ambapo fauster ndaso amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa bodfi hiyo huku Endruw manyema ngindo akichaguliwa kuwa makamu mwenyekiti.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • WANANCHI KALAMBO WATAKIWA KUCHUKUA TAHADHARI YA MAGOJWA YA MILIPUKO.

    October 09, 2025
  • MAAFISA BAJETI, IDARA NA VITENGO KALAMBO WAJENGEWA UWEZO NAMNA YA KUANDAA BAJETI KWA TIJA.

    October 08, 2025
  • DC KALAMBO AFANYA MAZUNGUMZO NA CHAMA CHA TUGHE

    October 08, 2025
  • DC KALAMBO AFANYA MAZUNGUMZO NA CHAMA CHA TUGHE

    October 08, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.