• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Halmashauri Ya Kalambo Ya Panda Kwa Asilimia 46% Katika Ukusaji Mapato Huku Wilaya Ya Nkasi Ikiporomoka Kwa Asilimia 30%.

Posted on: March 2nd, 2020


Halmsahuari ya  wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa imeporomoka katika  ukusanyaji mapato  kwa anguko la asilimia 30% huku  Halmashauri ya Kalambo ipanda kwa asilimia 46%.

 Halmashauri hiyo imeteremka kimapato kutoka 66% mwaka jana kipindi kama hicho hadi kufikia 36.9% ambapo ni sawa na anguko la asilimia 30% ,

Hata hivyo kwa mujibu  wa takwimu  za mkoa  ,Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi kwa mwaka 2019 mwezi Februari  makusanyo  yalikuwa ni shilingi 1,517,348,839 sawa na 66% ya makadirio ya Shilingi 2,000,304,000 kwa mwaka 2020 hadi mwezi Januari, Halmashauri ya wilaya ya Nkasi ilikuwa imekusanya shilingi 919,830,000  .

Awali akiongea  kupitia  kikao  cha baraza la madiwani  wilayani  humo ,Afisa wa Serikali za Mitaa wa Mkoa wa Rukwa Abinus Mgonya alisikitishwa kwa kuporomoka kwa ukusanyaji wa mapato ya Halamshauri hiyo hali ambayo ilikuwa tofauti ukilinganisha na mwaka wa fedha wa 2018/2019 katika kipindi cha kuanzia mwezi Julai hadi januari.

Alisema kuwa hali ya ulinganifu wa kipindi hicho siyo nzuri kwa Halmashauri ya Nkasi na kuongeza kuwa Halmashauri hiyo imekuwa ya mwisho kati ya Halmashauri nne za mkoa huo ambapo Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga ikiongoza katika ukusanyaji wa mapato ikifuatiwa na halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga, huku Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo ikishika nafasi ya tatu.

“Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi kwa mwaka 2019 mwezi Februari makusanyo yalikuwa ni shilingi 1,517,348,839 sawa na 66% ya makadirio ya Shilingi 2,000,304,000 kwa mwaka 2020 hadi mwezi Januari, halmashauri ya wilaya ya Nkasi ilikuwa imekusanya shilingi 919,830,000 na hii ni kwa mujibu wa takwimu tulizonazo pale mkoani kabla ya Halmashauri haijafanya usuluhishi wa mifumo ya matumizi na mifumo ya mapato ndio maana sisi pale mkoani inasomeka 36.9%,” Alisema

Manispaa ya Sumbawanga kwa mwaka 2019 mwezi Februari makusanyo yalikuwa shilingi bilioni 2.1 sawa na 98.1% ya makadirio ya shilingi bilioni 2.2 na Januari, 2020 imekusanya shilingi bilioni 1.7 sawa na 73% ya makadirio ya shilingi bilioni 2.4, Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga kwa mwezi Februari 2019 makusanyo yalikuwa shilingi milioni 801 sawa na 35% ya makadirio ya shilingi bilioni 2.3 na Januari 2020 imekusanya shilingi bilioni 1.3 sawa na 54% ya makadirio ya shilingi bilioni 2.3 na Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo kwa mwezi Februari 2019 makusanyo yalikuwa ni shilingi milioni 720.9 sawa na 36.05% ya makadirio ya shilingi bilioni 2. Na Januari 2020 imekusanya shilingi milioni 865.2 sawa na 46% ya makadiririo ya shilingi bilioni 1.8.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.