• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Halmashauri Ya Kalambo Yafanikiwa Kupunguza Utapiamlo Kwa Watoto Chini Ya Miaka 5

Posted on: July 16th, 2023

Halmashauri ya Kalambo mkoani Rukwa kwa mwaka wa fedha 2022/2023 imefanikiwa kutekeleza mpango kabambe wa lishe wa taifa kwa kupunguza utapiamlo mkali kwa watoto chini ya miaka mitano 

Utekelezaji wa mpango huo umekuwa ukitekelezwa na idara ya afya kwa kushirikina na idara mtambuka ambazo ni kilimo, elimu msingi na elimu sekondari kwa kutoa elimu ya lishe bora katika jamii kupitia vituo vya kutolea huduma za afya ikiwemo ulaji wa vyakula vyenye virutubishi.

Mapema akiongea kupitia kikao cha kamati ya lishe ya wilaya kilicho fanyika katika ukumbi wa mkuu wa wilaya hiyo Robert Tepeli, alisema katika kipindi cha mwaka wa fedha 2022/2023 Halmashauri ilifanikiwa kukagua vyakula na madini joto ikiwemo chumvi zinazo uzwa madukani sambamba na unyweshaji Vitamin (A) na kutoa dawa za minyoo kwenye vituo vyote vya kutolea huduma za afya.

Alisema katia kipindi hicho walifanikiwa kutekeleza zoezi la utoaji elimu kwa watoa huduma za Afya juu ya utambuzi wa utapiamlo na matibabu kulingana na hali ya utapiamlo.

‘’idara ya kilimo na mifugo inahusika moja kwa moja katika kutekeleza Afua za lishe kupitia kilimo na ufugaji ambapo katika kipindi hicho idara hiyo imefanikiwa kusimamia na kutoa elimu juu ya ufugaji bora wa samaki kwa wafugaji katika kata za Matai na Sundu na upandaji wa michikichi katika kata za Kasanga Mpombwe ili kuwezesha wananchi kunufaika na vitamin (A).’’alisema Tepeli.

Kwa upande wake kaimu afisa elimu msingi wilayani humo Nhand Jilala alisema idara hiyo imefanikiwa kutoa elimu na hamasa katika shule za msingi juu ya umuhimu wa wanafunzi kupata chakula shuleni angalau mlo moja kwa siku ikiwa ni pamoja na kufuatilia idadi ya shule ambazo zimekuwa zikitoa chakula kwa wanafunzi na kubaini shule 44 kati 99 kutoa huduma hiyo.

Kwa upande wake mkuu wa wilaya hiyo Lazaro Komba alimwagiza afisa lishe wilayani humo kuhakikisha afua zote za zilishe zinatekelezwa ikiwa ni pamoja na kutenga fedha za utekelezaji.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.