• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Halmashauri ya Kalambo yapata hati safi kwa miaka 5 mfululizo.

Posted on: June 22nd, 2024

Mkuu wa mkoa wa Rukwa Makongoro Nyerere ameipongeza halmashauri ya Kalambo kwa kupata hati inayoridhisha kwa kipindi cha miaka mitano mfululizo na kumtaka mkurugenzi mtendaji halmashauri hiyo Shafi Mpenda kuhakikisha fedha zote zinazo kusanywa zinawasilishwa benk kwa wakati

Ameyasema hayo kupitia kikao cha baraza la madiwani la halmashauri ysa Kalambo kuhusu utekelezaji wa hoja za ukaguzi na mapendekezo ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali kwa mwaka 2022/2023 kilichofanyika katika ukumbi wa halmashauri ya Kalambo, ambapo alipiga marufuku halmashauri kutumia fedha mbichi na kuagiza hatua dhidi ya watumishi waliotumia fedha mbichi na kufanya udanganyifu kuchukuliwa hatua za kinidhamu na kisheria.

‘’Vilevile katika ufuatiliaji uliofanywa na mkoa umebaini kuwa yapo mapato katika mfumo wa LGRCIS yaliyokusanywa na watendaji wa halmashauri katika kipindi cha mwaka 2022 hadi 2023 kiasi cha shilingi 243,458,600 ambayo hayajawasilishwa benk hadi sasa .Nikuagize mkurugenzi kuchukua hatua stahiki kwa kuhakikisha fedha hizo zinarejeshwa na wahusika wanachukuliwa hatua za kinidhamu na kisheria kwa kuzingatia kanuni ya 36-37 ya kanuni za utumishi wa umma za mwaka 2022’’. Alisema Makongoro.

Kwa upande wake kaimu mkurugenzi wa halmashauri hiyo Wambura Sundy, alisema kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2022/2023 halmashauri imefanikiwa kukusanya fedha kiasi cha shilingi1,689,549,489 sawa na asilimia 83 huku kwa mwaka wa fedha 2023/2024 ikifanikiwa kukusanya shilingi 1,710,607,360.41 sawa na asilimia 71 ya kiasi cha shilingi 2,412,405,000.000 ambacho kilikasimimiwa kukusanywa kwa mwaka wa fedha 2023/2024.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.