• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Halmashauri Ya Kalambo Yapokea Fedha Billion 2 Kwa Ajili Ya Ukamilishaji Miradi Ya Maendeleo.

Posted on: October 11th, 2023

Halmashauri ya Kalambo mkoani Rukwa imepokea fedha kiasi cha shilingi 2,026,000,000 kwa ajili ya ukamilishaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika kata 16 za wilaya hiyo ikiwemo fedha za umaliziaji wa jengo la utawala shilingi 750,000,000 pamoja na fedha za umaliziaji jengo la mkurugenzi shilingi 50,000,000.

Miongoni mwa kata zitakazonufaika na fedha hizo ni pamoja na kata ya Mambwekenya ambayo imepata fedha kiasi cha shilingi 50,000,00 kwa ajili ya umaliziaji wa zahanati ya kijiji cha Kazonzya ,Mkowe shilingi 50,000,000 kwa ajili ya umaliziaji jengo la Zahanati ya Sengakalonje , Mwazye shilingi 50,000,000 kwa ajili ya umaliziaji jengo la Zahanati ya Mpenje, Mwimbi,shilingi 50,000,000  kwa ajili ya umaliziaji wa jengo la Zahanati ya kijiji cha Mozi , Ulumi shilingi 50,000,000 kwa kwajili ya umaliziaji wa jengo la zahanati ya kijiji cha Ulumi , Mambwenkoswe shilingi 50,000,000 kwa ajili ya umaliziaji jengo la Ilonga, Mpombwe shilingi 50,000,000 kwa ajili ya umaliziaji Zahanati ya kijiji cha Limba. Katete  shilingi 50,000,000 kwa ajili ya umaliziaji Zahanati ya Jengeni.

Aidha katika swala la elimu msingi kata ya katete imepata fedha shilingi 40,000,000 kwa ajili ya umaliziaji wa shule ya msingi Katazi, 40,000,000 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa 2 katika shule ya msingi Katazi ,Mabwekenya shilingi 40,000,000 kwa ajili ya umaliziaji madarasa mawili shule ya msingi , Mpombwe shilingi 40,000,000 kwa ajili ya umaliziaji madarasa mawili shule ya msingi Nondo, kata ya Msanzi shilingi 28,000,000 kwa ajili ya ujenzi wa matundu 14 shule ya msingi katuka na shilingi 30,000,000 kwa ajili ya ujenzi ukuta wa bweni la shule msingi msanzi.

Licha ya hilo Kata ya Matai ni miongoni mwa kata zilizonufaika na fedha hizo kwa kupatiwa fedha shilingi 128,000,000 kwa ajili ya ujenzi wa bweni shule ya msingi Matai ‘’A’’ shule na kata ya Katete ambayo imepatiwa fedha shilingi million 20,000,000 kwa ajili ya ujenzi wa darasa moja la shule ya msingi Kaluko na kufanya jumla ya shilingi 366,000,000.

Kwa mujibu wa Mkurugenzi mtendaji wa Halmshauri ya Kalambo Shafi Mpenda, amesema kata Ya Mkali imepata shilingi 60,000,000.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA KALAMBO YAFIKIA ASILIMIA 120 UKUSANYAJI WA MAPATO.

    June 27, 2025
  • HALMASHAURI YA KALAMBO YAFIKIA ASILIMIA 120 UKUSANYAJI WA MAPATO.

    June 27, 2025
  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.