• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Halmashauri Ya Wilaya Ya Kalambo Yasaini Mkataba na Kikundi cha M9 Entertainment Ya Kufanya Usafi Katika Mji Wa Matai.

Posted on: July 29th, 2019


Halmashauri ya wilaya ya kalambo mkoani Rukwa imesaini mkataba na kikundi cha M9 entertainment na kukabithiana pikipiki ya magurudumu matatu maalfu kama guta yenye thamani ya shilingi milioni sita na nusu ambayo itatumika kukusanya taka katika maeneo mbalimbali ya mji wa Matai.

Halmashauri ya wilaya ya kalambo inajumla ya vikundi vya ujasiliamali 492 na huku vikundi 58 vikiwa vimekopeshwa fedha na halmashauri hiyo na vikundi kumi na tano vikiwa kwenye mkakati wa kupatiwa mikopo.

Akiongea mara baada ya kusaini mkataba na kikundi hicho afisa mazingira wilayani humo Adam Baleche,alisema kutokana na halmashauri hiyo  kutokuwa  na gari  ya  kuzolea taka hivyo ililazimika  kununua pikipiki ya magurumu matatu malfu kama Guta na kukikopesa kikundi cha M9 ENTERTAINMENT kwa lengo  kusaidia  kuzolea  taka katika kata za lyowa na Matai

‘’Halmashauri baada ya kukosa gari ikaona ni bora inunue pikipiki ya magurumu matatu ambayo yumewakopesha vijana wa kikundicha M9 entertainment na kusainiana mkataba na lengoni kuhakikisha  wazoa taka kwenye  maeneo yote yanayo unda mji wa Matai na kutupa  dampo huko Matai Asilia.’’alisema Baleche’’

Mwenyekiti wa kikundi hicho Musa Mzopora.alisema licha ya chombo hicho kuwa saidia kutoa taka pia  kitawasaidia kujipatia kipato.

‘’leo tumekutana hapa ili kusainiana mkataba baina yetu na halmashauri na kama unavyo ona  hata  ukipita kwenye maeneo ya masoko na barabarani  utakuta taka zimezagaa ,hivyo  naona hii  itasaidia kwa kiasi kikubwa hususani katika kukabiliana na magonjwa ya milipuko kamavile kipindupindu.’’alisema Mzopora.

Siku za hihi karibu mkuu wa wilaya Julieth Binyura aliagiza jeshi la polis kuwakama na kuwaweka ndani kwaa muda wa saa 48 mtu au watu ambao wataonekana wakitupa taka ovyo kwenye maeneo ya mji  huo.

‘’yule ambae atakutwa  maeneo yake ni machafu atakamatwa  na kuwekwa  ndani kwa saa arobaini na nane ,kwahiyo ndugu zangu kuweni wasafi kutokana na kuwa huu ni mji ‘’alisema Binyura.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA KALAMBO YAFIKIA ASILIMIA 120 UKUSANYAJI WA MAPATO.

    June 27, 2025
  • HALMASHAURI YA KALAMBO YAFIKIA ASILIMIA 120 UKUSANYAJI WA MAPATO.

    June 27, 2025
  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.