• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Hatimaye Wananchi Wahamasika Na ujezi Wa Kituo Cha Afya Samazi

Posted on: July 1st, 2019
  • Siku  chache  baada  ya  mkuu wa mkoa  wa Rukwa Joachimu Wanagabo kuingilia kati  mgogoro wa wa ujenzi wa kituo cha afya Samazi wilayani Kalamb ,hatimaye wanaanachi kwenye  maeneo hayo wamenza ujezi wa kituo hicho na kushiriki shiriki shughuri za maendeleo.
  • Akiongea kwa niaba ya wananchi waishio katika eneo hilo, Afisa mtendaji kata ya Samazi ndugu Pius Joachim Kasonso alisema tangu walipo pata taarifa ya maandishi kuhusu mradi huo walitoa elimu kwa wananchi juu ya manufaa ya uwepo wa kituo cha afya na kwamba tayari wamesha anza kusafisha la ujenzi wa mradi, kuchimba mawe na kusomba mchanga vitendo vinavyoashiria kuanza kwa ujenzi .
  • Naye Mwenyekiti wa kamati ya ujenzi ndugu Anatorius Nobe Mwikala alisema uwepo wa kituo cha afyaSamazi utapunguza kwa kiasi kikubwa adha kwa wananchi kufuata huduma za afya Ngorotwa, Matai na Sumbawanga kama ilivyo hivi sasa.
  • Akithibitisha uwepo wa mradi huo,Mhandisi wa Ujenzi wa Wilaya ya Kalambo ndugu Daudi Sebinga alisema  Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo imepokea jumla ya shilingi milioni mia nne kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha afya katika kata ya Samazi.
  • ``Mradi wa kituo cha afya Samazi utahudumia vijiji vya Samazi, Kisale,Kipanga na Katili vyote vikiwa ndani ya kata ya Samazi pamoja vijiji jirani vya Kafukoka, Kachele na visiwa vya karibu vilivyomo ndani ya mwambao wa ziwa Tanganyika.
  • ``Majengo yatakayojengwa kwenye hii awamu ni pamoja na jengo la Mama na mwana,wagonjwa wa nnje[OPD],Maabara,Upasuaji na Utawala ambayo yote kwa pamoja yatagharimu kiasi cha milioni mia nne za kitanzania.’’
  • Mhandisi Daudi Sebinga aliwataka wananchi kuendelea kujitolea nguvu kazi ili kupunguza gharama kwani fedha zilizotolewa na serikali kuu hazitoshi kukamilisha ujenzi wa mradi huo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.