• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Hospitali Ya Wilaya Ya Kalambo Yapokea Vifaa Tiba Vyenye Thamani Ya Shilingi Million 674

Posted on: October 15th, 2023

Halmashauri ya Kalambo mkoani Rukwa imepokea vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi 674,524,662.74 kutoka ofisi ya Rais TAMISEM ikiwemo vifaa vya upasuaji, mashine za kutunza watoto njiti, X-RAY na vifaa vya macho ambavyo awali vilikuwa vikipatikana katika hospitali ya rufaa ya kanda jijini Mbeya.

Mapema akiongea wakati wa ukaguzi wa vifaa hivyo mratibu wa vifaa tiba wilayani humo Mhandisi Bane Matari amesema vifaa hivyo vinajumuisha vitanda 60, vifaa vya uchunguzi na vifaa kwa ajili ya matibabu na vifaa vya upasuaji kwa akina mama wajawazito.

Amesema licha ya hilo hospitali imepokea mashine ya kisasa ya X-RAY (digtal X-RAY mashine,Utrasound mashine ambavyo tayari vimeshafungwa kwa ajili ya matumizi.

Amesema katika mwaka wa fedha 2022 /2023 serikali ilipokea fedha za Ruzuku toka serikali kuu,kiasi cha shilingi 100,000,000 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa tiba vya huduma za meno na macho ambavyo tayari vimefungwa na kuanza kutoa huduma.

Kwa upande Mganga mkuu wa hospitali ya wilaya hiyo Emmanuel Kisyombe amesema hospitali hiyo inapokea wagonjwa 700 hadi 800 kwa mwezi na kwamba kwa kipindi cha kuanzia mwezi septemba wamepokea wagonjwa 800 kati yao wanawake wanaojifungua wakiwa 50 na kufanya upasuaji kwa wanawake 5.

Hata hivyo halmashauri ya Kalambo kwa mwaka wa fedha 2020/202 3 ilipokea fedha 3,440,000,00 kwa ajili ya ujenzi wa majengo 7 ikiwemo jengo la maabara, jengo la utawala, jengo la wagonjwa wa nje (OPD) Jengo la wazazi (martenity ward) jengo la mionzi (Radiologia,Jengo la kufulia (laundry) na jengo la kuhifadhia dawa (Pharmacy) na kwamba wodi tatu ikiwemo ya watoto , wodi ya wanawake na wodi ya wanaume zimekamilika na kuanza kutoa huduma.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.