• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

INEC YATOA MAFUNZO YA MATUMIZI YA VIFAA VYA UANDIKISHAJI WAPIGA KURA KWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WA WAPIGA KURA KALAMBO

Posted on: January 5th, 2025

Tume huru ya uchaguzi nchini imeanza kutoa mafunzo ya namna bora ya ujazaji wa fomu kwa kutumia mfumo wa kuandikisha wapiga kura (voters) REGISTRATION SYSTEM –VRS) pamoja na matumizi ya vifaa vya uandikishaji wapiga kura huku ikiwataka waandikishaji wasaidizi wa kata kufanya kazi kwa weledi na kwa kuzingatia miongozo iliyotolewa na tume ili kufanikisha zoezi hilo la kitaifa.

Awali akifungua semina ya mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa waandikishaji wasaidizi ngazi ya kata wilayani Kalambo mkoani Rukwa, afisa uandikishaji Jimbo la Kalambo ndugu Erasto Mwasanga, amesisitiza waandikishaji wote kuhakikisha wanavitunza vifaa vitakavyo tumika katika uboreshaji kwa kuzingatia miongozo iliyotolewa na tume ili kuwezesha kufanya kazi kwa usahihi.

Licha ya hilo amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki uboreshaji wa taarifa zao kwenye daftari la kudumu la wapiga kura kwa maendeleo ya wilaya,mkoa na taifa kwa ujumla na kusema zoezi la uandikishaji litahusisha waandikishaji wapya na uboreshaji wa taarifa za wapiga kura.

‘’tunatarajia kuwa baada ya mafunzo haya nyie pia mtapaswa kutoa mafunzo mliopata hapa kwa waendeshaji wa vifaa vya bayometriki na waandishi ambao watahusika na uandikishaji wa wapiga kura vituoni ‘’ alisema Mwasanga.

Awali akiongea na wadau mkoani Rukwa mwakilishi wa mkurugenzi wa tume ya uchaguzi nchini Martin Mnyenyelwa  amesema uboreshaji wa daftari unalenga kuwaandikisha raia wa Tanzania waliotimiza umri wa miaka 18 na zaidi au watakao timiza umri huo wakati  wa tarehe ya uchaguzi wa mwaka 2025 na ambao hawajapoteza sifa kwa mujibu wa Sheria ya uchaguzi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.