• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Jaji Mkuu Wa Tanzania Apongeza Mahusiano mazuri Baina Ya Serikali Na Mahakama.

Posted on: November 14th, 2019

JAJI mkuu wa Tanzania  Prof,Ibrahimu Juma amesifu mahusiano mazuri
yaliyopo kati ya Mahakama na serikali wilayani Kalambo na kuwa ajenda kubwa kwa mahakama ni kujenga mahusiano mema na Mihimili mingine ya dola kwani wote wanategemeana.


Amesema kuwa taarifa iliyotolewa na mkuu wa wilaya ya Kalambo Julieth Binyura inaonyesha kuwa mahusiano yaliyopo kati ya mahakama na serikali ni mazuri kiasi kwamba  hata utendaji kazi wa shughuli za mahakama unakua rahisi.

Ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na na kamati  ya ulinzi  na usalaama  ya wilaya ya kalambo wakati wa ziara yake ya siku mbili ya kutembelea na kukagua utendaji wa mahakama katika wilaya zote tatu za mkoa huo.


Amesema kuwa mahakama pekee haiwezi kufanikisha kazi zake kwa ufanisi bila ya kujenga mahusiano mazuri na wadau wengine na kuwa hata ziara yake anayoifanya lengo lake kuu ni kuonana na wadau na kujenga mahusiano mazuri .


Mkuu  wa  wilaya  ya Kalambo Julieth Binyura amesema wanajitahidi  kuongea  na wananchi kupitia mikutano ya hadhara kwa lengo kumaliza migogoro kabla ya kufikishwa mahakamani.

Katika hatua nyingine akiwa  katika  wilaya  ya  Nkasi  jaji mkuu wa Tanzania alisema kuwa mahakama inaangalia uwezekano wa kuanza utaratibu wa kutoa nakala za hukumu kwa lugha ya kiswahili ili kuwarahisishia wananchi upatikanaji wa haki katika vyombo vyake vya maamuzi.

Alisema kuwa hoja ya mahakama kutoa nakala za hukumu kwa lugha ya kiswahili ni jambo la msingi na litasaidia upatikanaji wa haki kwa wananchi wanaofika mahakamani kutafuta haki juu ya mashauri mbalimbali.

Alisema pia itawasaidia kufahamu na kuelewa kwa urahisi kile kilichoamuliwa na mahakama, hivyo yule anayetaka kukata rufaa mahakama ya juu inakuwa rahisi kwake kufanya hivyo na kwa wakati sahihi.

"Hii hoja ya kutumia lugha ya kiswahili katika mahakama zetu ni jambo la msingi na muhimu sana.....tumeipokea na tutaifanyia kazi" alisema

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.