• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Jamii mkoani Rukwa ya shauliwa kujiendeleza kielimu.

Posted on: October 4th, 2024

Mkuu wa mkoa wa Rukwa Makongoro Nyerere amesema wanafunzi 282 kati ya 302 wa memkwa waliofanya mitihani ya kitaifa ya upimaji wa darasa la nne kwa mwaka 2023 wamefanikiwa kujiunga na mfumo rasim wa masomo huku wanafunzi 1785 wakiwemo wavulana 899 na wasichana 886 wamefanikiwa kujiunga na madarasa ya Memkwa katoka halmashauri nne za mkoa huo.

Ameyasema hayo wakati wa maadhimisho ya kilele cha elimu ya watu wazima yaliofanyika wilayani Kalambo kwa ngazi ya mkoa na kuwakilishwa na mkuu wa wilaya ya Kalambo Dkt.Lazaro Komba ambae amesisistiza jamii kujiendeleza kielimu kwa kujiunga na elimu ya watu wazima ikiwa ni pamoja na shule zote mkoani humo kuwa na vyumba maalum kwa ajili ya watu wazima kujiendeleza.

Aidha amesema Matokeo ya Sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 inaonesha 25.9% ya Watu wazima hawajui Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) na kwamba kupitia takwimu hizo ni dhahiri kuwa changamoto ya Wananchi  kutojua KKK ni kubwa hivyo Wazazi na walezi  wanajukumu kubwa la kutimiza majukumu yao ya ulezi na kuhakikisha watoto wao wahudhuria masomo katika mfumo rasmi wa Elimu.

Kwa Upande wake Kaimu Afisa Elimu Mkoani humo Matinda Mwinuka amesema ukosefu wa vitendea kazi maalumu kwa ajili ya watu wazima na mwamko duni wa vijana kujiunga na vyuo vya elimu ya watu wazima ni miongoni mwa changamoto ambazo walimu wamekuwa wakikabilina nazo wakati wa kutoa elimu hiyo.

Baadhi ya wadau wa elimu mkoani humo akiwemo Erick Skale wamesema serikali haina budi kuwekeza katika elimu ya watu wazima kwa kuboresha mindombinu na kuongeza vifaa vya ufundishaji na ujifunzaji ili kuwesha kufikia malengo yao.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA KALAMBO YAFIKIA ASILIMIA 120 UKUSANYAJI WA MAPATO.

    June 27, 2025
  • HALMASHAURI YA KALAMBO YAFIKIA ASILIMIA 120 UKUSANYAJI WA MAPATO.

    June 27, 2025
  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.