• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Kalambo Kutumia Michezo Kutokomeza Utoro Wa Wanafunzi Shuleni.

Posted on: November 23rd, 2023


Halmashauri ya Kalambo mkoani Rukwa imeanzisha mkakati wa kukabilina na vitendo vya utoro kwa wanafunzi wa shule za misngi kwa kutoa vifaa vya michezo ikiwemo jezi,mipira sambamba na kuanzisha vitalu vya michezo Kalambo Kutumia Michezo Kutokomeza Utoro Wa Wanafunzi Shuleni.

Halmashauri ya Kalambo mkoani Rukwa imeanzisha mkakati wa kukabilina na vitendo vya utoro kwa wanafunzi wa shule za misngi kwa kutoa vifaa vya michezo ikiwemo jezi,mipira sambamba na kuanzisha vitalu vya michezo katika shule tatu.

Akikabidhi vifaa vya michezo kwa maafisa michezo kwa niaba ya mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo ,Afisa elimu msingi Januari Njovu amesema kwa kutambua umuhimu wa michezo halmashauri kupitia idara ya elimu msingi imenunua jezi seti 4 sawa na jezi 128 na mipra 8 ambazo zitagawiwa kwenye  shule za msingi na kwamba lengo ni kuhakikisha wanafunzi hususani wa madarasa ya awali wanajikita kwenye michezo ili kuchangamsha ubongo.

Kwa upande wake afisa elimu taalma wilayani humo John Daniel amesema michezo kwa wanafunzi inasaidia kuwafanya wanafunzi kufanya vizuri darasani sambasamba na kuongeza uwezo wa akili hasa katika masomo ya Hisabati ,Kingereza na sayansi.

Mmmoja wa walimu wa michezo wilayani humo James Masoya ,alisema michezo imekuwa chanzo cha kuongeza mahudhurio darasani sambasamba na kusaidia wanafunzi kuimarisha afya na kuibua vipaji ambavyo vimekuwa vikisaidia vijana kujiajiri wenyewe.

katika shule tatu.

Akikabidhi vifaa vya michezo kwa maafisa michezo kwa niaba ya mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo ,Afisa elimu msingi Januari Njovu amesema kwa kutambua umuhimu wa michezo halmashauri kupitia idara ya elimu msingi imenunua jezi seti 4 sawa na jezi 128 na mipra 8 ambazo zitagawiwa kwenye  shule za msingi na kwamba lengo ni kuhakikisha wanafunzi hususani wa madarasa ya awali wanajikita kwenye michezo ili kuchangamsha ubongo.

Kwa upande wake afisa elimu taalma wilayani humo John Daniel amesema michezo kwa wanafunzi inasaidia kuwafanya wanafunzi kufanya vizuri darasani sambasamba na kuongeza uwezo wa akili hasa katika masomo ya Hisabati ,Kingereza na sayansi.

Mmmoja wa walimu wa michezo wilayani humo James Masoya ,alisema michezo imekuwa chanzo cha kuongeza mahudhurio darasani sambasamba na kusaidia wanafunzi kuimarisha afya na kuibua vipaji ambavyo vimekuwa vikisaidia vijana kujiajiri wenyewe.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.