• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Kalambo Kutunga Sheria Ndogo Kudhibiti Utoro Wa Wanafunzi Mashuleni

Posted on: February 4th, 2021

Wilaya ya Kalambo Mkoani Rukwa imeanza kuchukua hatua za kukomesha vitendo vya utoro mashuleni kwa kutunga sheria ndogo zitakazo saidia kuwachukulia hatua wazazi na walezi wanaoshindwa kuchangia vyakula kutokana na shule 14 kati ya 15 za sekondari kutoa chakula kwa asilmia 60 huku shule 98 za msingi zikishindwa kutekeleza zoezi hilo na kusababisha kujitokeza mdondoko mkubwa na utoro kwa wanafunzi wilayani humo.

 Hayo Yanajiri Kupitia Kikao Cha Ushauri Cha Wilaya (DCC) Ambapo Wazazi Na Walezi Wilayani Humo Wametajwa Kuwa Chanzo Cha Watoto Kuto Pata Chakula Kwa Asimia 100 Shuleni kutokana na mwamko mdogo wa elimu.

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya hiyo Msongela palela, alisema hali ya utoaji chakula mashuleni imekuwa siyo ya kuridhisha kwani ni asilimia 60 pekee ya wanafunzi wanaopata chakula katika shule 14 kati ya 15 za sekondari hali ambayo imekuwa ikipelekea ujifunzaji na ufundishaji kuathirika na kusababisha mdondoko wa wanafunzi kuwa mkubwa.

Alisema Halmashauri imeanza kutunga sheria ndogo na kusimamia sheria zitakazo mtaka mzazi kuwajibika kwa mtoto wake ikiwa ni pamoja na kuchangia chakula shuleni na kusimamia mahudhurio yake pindi awapo shuleni.

‘’Kupitia kikao hiki wadau wote wa elimu tuungane kutoa hamasa kwa jamii kuona umuhimu wa kuchangia chakula na kusimamia mahudhurio ya watoto wetu wawapo shuleni ‘’alisema Msongela.

Mkuu wa wilaya hiyo Kalorius Misungwi aliwahimiza watendaji pamoja na maafisa elimu kuhakikisha kamati za shule zinaanza kufanya kazi kwa mujibu wa sheria  na kusisitiza kuhakikisha wanachagua viongozi wa kamati ambao wanauelewa  dhidi ya masuala ya elimu.

Halmashauri ya kalambo inajumla ya shule za sekondari 19 zenye jumla ya wanafunzi 8,117. Shule 15 za serikali na zisizo za serikali huku shule za msingi zikiwa ni 98.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.