• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Katibu Mkuu CCM Taifa Ataka Miti Ya Matunda Kupandwa Hospitali Ya Wilaya Ya Kalambo

Posted on: October 10th, 2023

Wananchi wilayani Kalambo mkoani Rukwa wameondokana na adha ya kufuata huduma za matibabu katika hospitali ya mkoa iliyopo umbali wa km 50 kutokana na serikali kukamilisha ujenzi wa hospitali ya wilaya hiyo iliyojengwa kwa gharama ya shilingi billion 4.4 na kuanza kutoa huduma.

Wakiongea mara baada ya katibu mkuu wa chama cha mapinduzi CCM Taifa Daniel Chongoro kutembelea hospitali hiyo,wamesema kujengwa kwa hospitali hiyo kumewawezesha kuondoka na adha ya kutembea umbali mrefu ili kufuata huduma za kibingwa katika hospitali ya mkoa iliyopo katika Manispaa ya Sumbawanga na katika nchi jirani ya Zambia.

Awali akisoma taarifa ya utekelezaji wa mradi huo mganga mkuu wa hosptali hiyo Dkt Emmanuel Mhanda alisema Halmashauri ilipokea fedha kiasi cha shilingi billion 3,440,000,000.00 kwa ajili ya ujenzi wa wodi za upasuaji kwa wanawake na wanaume, jengo la kuhifadhia maiti (mortuary), jengo la upasuaji (theatre),jengo la wagonjwa mahututi  (ICU)  na nyumba ya watumishi na kwamba  ujenzi wa wodi tatu ikiwemo wodi ya watoto , wanawake na wanaume zimekamilika na kuanza kutoa huduma.

Awali akiongea na wakazi wa kata za Matai na Lyowa wilayani humo katibu mkuu wa ccm Taifa Daniel Chongolo aliutaka uongozi wa Halmashauri hiyo kupanda miti ya matunda kuzunguka majengo ya hospitali.

Hata hivyo hospitali ya wilaya ya Wilaya ya Kalambo ina Jumla ya watumishi 50 kati yao madaktari wakiwa 6, wauguzi 24, wataalamu wa maabara 4,katibu1,afisa afya 1, matabibu 4, wafamasia 3, fundi sanifu vifaa tiba 1, tabibu wa meno 1, Mfiziotherapia 1,na wasaidizi wa afya 4.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.