• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Katibu Tawala Mkoa (RAS) Alidhishwa na Maendeleo ya Ujenzi wa Miradi Minne Wilaya ya Kalambo

Posted on: July 13th, 2023

Katibu Tawala Mkoa wa Rukwa Ndugu. Gerald M. Kusaya ameridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa miradi minne aliyokagua katika ziara yake Wilaya ya Kalambo aliyoifanya tarehe 13 Julai 2023. Miradi hiyo yenye thamani zaidi ya Tsh. Bilion 3.04 inatekelezwa kwa fedha za Serikali kuu, fedha za Mradi wa Boost pamoja na mradi Lanes.


Ndugu Kusaya alilidhishwa na hali ya ujenzi baada ya kukagua miradi hiyo ambayo ni mradi wa Shilingi Milion 638.5 (force account) Ujenzi wa shule mpya ya matai B wenye madarasa 16, jengo la utawala pamoja na nyumba ya walimu (2 in 1) Katika Kata ya Lyowa ambapo majengo mengi yapo katika hatua ya renta. Mradi wa Shilingi Milion 109.1 (force account) ujenzi wa madarasa manne shule ya Msingi Kilewani ambapo majengo yapo hatua ya kuezekwa. Mradi wenye majengo sita wa Shilingi Bilion 1.4 Soko la Samaki la Kasanga unaotekelezwa na Kampuni ya Ujenzi ya Nice katika Kata ya Kasanga ambapo majengo yapo katika hatua ya renta na kuezeka pamoja na Mradi wa Shilingi Milion 873.2 nyumba ya Mkuu wa Wilaya ya Kalambo katika Kata ya Lyowa ikiwa katika hatua ya umaliziaji .


Ili kuhakikisha miradi hiyo inakamilika haraka na kutoa tija kwa wananchi Ndugu Kusaya alitoa maagizo mbalimbali katika ziara hiyo ikiwa ni pamoja na wakandarasi na mafundi kuongeza nguvu ya ujenzi kwa kuongeza mafundi pamoja na kufanya ujenzi usiku na mchana pale inapobidi. Wakati wa ukaguzi wa mradi wa ujenzi wa nyumba ya Mkuu wa Wilaya unaotekelezwa na Kampuni ya ujenzi ya Suma JKT, Katibu Tawala Mkoa alimuagiza Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Shafi K. Mpenda kuandaa eneo la ujenzi wa Ikulu ndogo ikiwa ni maandalizi ya awali.


Kukamirika kwa miradi ya ujenzi wa shule na madarasa kutasaidia kuondoa msongamano wa wanafunzi katika shule husika hali itakayoboresha mazingira ya kijifunzia. Huku ujenzi wa Soko la Samaki la Kasanga ukisaidia kurejesha uhakika wa soko na uifadhi wa Samaki wanaovuliwa katika eneo hilo kufuatia Soko la awali kuzingilwa na Maji ya ziwa Tanganyika.


Aidha Katibu Tawala aliwataka watumishi kutekeleza majukumu yao ipasavyo licha ya uwepo wa madeni mbalimbali wanayoidai Serikali ambapo amemtaka Mkurugenzi Mtendaji kuyalipa madeni hayo kadri fedha zinavyopatikana. Hayo aliyasema wakati wa Kikao na watumishi wa Halmashauri waliopo Makao makuu ya Wilaya kabla ya kuanza ziara yake.


Katika ziara hiyo Katibu Tawala na timu yake kutoka ofisi ya mkuu wa Mkoa waliambatana na mwenyeji wao Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Shafi K. Mpenda, Katibu Tawala Wilaya Ndugu Servi Ndumbaro pamoja na Wakuu wa Idara wa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo.

Mradi wa Ujenzi Soko la Samaki Kasanga- Katibu Tawala Mwenye Koti la Suti ya draft.


Mradi Ujenzi wa Nyumba ya Mkuu wa Wilaya


Mradi wa Ujenzi wa Shule Mpya Matai B


Mradi wa Ujenzi wa Madarasa manne Shule ya Msingi Kilewani.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.