• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Lugola atoa siku 7 Kuhakikisha Wabakaji Wote Waliokimbilia Zambia Kukamatwa

Posted on: October 2nd, 2019


Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Kangi Lugola ameliagiza jeshi la polisi mkoani  Rukwa kuwasaka,kuwakamata na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria wabakaji wanne wanaodaiwa kutenda kosa hilo kwa wanafunzi wa shule kisha kukimbilia nchi jirani ya Zambia na kutoa siku saba agizo hilo liwe limetekelezwa.

Ameyasema  hayo kupitia  mkutano wa hadhara uliofanyika katika  kata  ya  Matai Wilayani  Kalambo  mkoani Rukwa, ambapo amesema jeshi la Polisi  liko  imara  na linafanya kazi usiku na mchana hivyo haliwezi kushindwa kuwakamata  wabakaji wanaokimbilia kwenye nchi jirani ya Zambia  na kokote kule baada ya  kufanya  uhalifu.

‘’Watoto hawa lazima walindwe, wabakaji hawawezi kulishinda jeshi la Polisi. Natoa siku saba wote wawe wameishakamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria na taarifa hiyo niipate haraka.’’Amesema lugola huku akishangiliwa na mamia ya wananchi.

Aidha, amewataka maredeva wa magari na bodaboda kufuata sheria za usalama barabarani hususani wakati wa kuendesha vyombo vya moto. Vinginevyo watachukuliwa hatua za kisheria ikiwa pamoja na kunyang’anywa leseni.

Wananchi kwa upande wao, wameiomba serikali kufungua kituo cha zima moto kwa lengo la kurahisha upatikanaji wa huduma hiyo pindi majanga ya moto yanapotokea. Hivi sasa huduma hiyo inapatikana Manispaa ya Sumbawanga umbali takribani kilometa 52, kutoka Mji wa Matai ambao ndio makao makuu ya Wilaya ya Kalambo.

Aidha  wamempongeza  mkuu  wa  wilaya  ya kalambo Julieth  Binyura  pamoja  na uongozi wa Halmashauri hiyo kwa kusimamia shuguli mbalimbali za maendeleo  ikiwemo  ujenzi  wa vituo  vya  afya pamoja  na  hospital ya wilaya.

‘’kusema kweli mmetuletea mkuu wa wilaya ambae ni mchapa kazi kwani japo kuwa ni mama lakini anachapa kazi kama mwanaume’’walisema wananchi hao.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.