• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Madiwani Wilayani Kalambo Wapiga Marufuku Magari Ya Mizigo Kusafirisha Mazao Nyakati Za Usiku

Posted on: September 5th, 2019

Mkutano wa baraza la madiwani katika halmashauri ya wilaya ya kalambo mkoani Rukwa umewapiga marufuku wafanyabishara wote kusafirisha mizigo ya mazao nyakati za usiku ikiwa ni jitihada za kudhibiti upotevu wa fedha za mapato na kumtaka mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo Msongera Paela, kuhakikisha anaweka migambo kwenye mageti yote sambamba na kuweka utaratibu mzuri wa kukusanya  fedha  kutoka kwa watendaji wa vijiji.

Halmashauri ya wilaya ya kalambo katika kipindi cha mwaka wa fedha 2018/2019 ilikuwa na makisio ya kukusanya fedha kupitia vyanzo vyake vya ndani kiasi cha shilingi bilion mbili na kufanikiwa kukusanya kiasi  cha shilingi bilioni moja  nukuta mbili sawa na asilimia 61.05.

Awali wakiongea kupitia kikao cha baraza la madiwani wilayani humo, wamesema kwa  mwaka  2019 na 2020 wameazimia  kufikia  malengo ya ukusanyaji mapato kwa  kushirikina na watendaji  wa vijiji na kata na kumshauri mkurugenzi mtendaji kutowaruhusu watendaji kukaa na fedha za makusanyo kwa muda mrefu.

Mkurugezi mtendaji wa halmashauri hiyo Msongera Palela ,amesema wamejipanga kubuni vyanzo vipya vya mapato nakuwasihi madiwani kutoa ushirikiano katika zoezi zima la ukusanyaji mapato.

‘’Tumejidhatiti kuanzisha zoezi la kutoa hati za ardhi za kimila na leseni za makazi kwa wananchi pamoja na kutoa elimu juu ya manufaa ya mpango huo ili Halmashauri ipige hatua mbele’’alisema msongela.

Katibu tawala wilayani humo Frank Sichalwe, amesema ofisi ya mkuu wa wilaya itaendelea kuwasaka na kuwachukulia hatua watendaji wote ambao washindwa  kufanya marejesho ya fedha za mapato kwa muda muafaka.

‘’ofisi ya mkuu wa wilaya kwa kushirikiana na ofisi ya mkurugezni mtendaji wa halmashauri itaendelea kuwasaka na kuwachukulia  hatua waatendaji ambao  wagundulika kukaa na fedha majumbani kama ilivyo  fanya kwa  mwaka wa fedha uliopita’’ alisema sichalwe.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.