• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Mafunzo ya kusherehekea Krisimasi njema

Posted on: December 25th, 2019

Kuanzia usiku wa kuamkia Krismasi, familia huwa zina hekaheka nyingi kufikia sikukuu ya Krismasi.

Na mara nyingine ndugu wanaweza hata kutofautiana kwa kile wanachokitaka kwa siku hiyo, mfano rimoti ya televisheni ya kipi wanataka kuangalia.

Krismasi ikipangiliwa vizuri basi inakuwa siukuu nzuri zaidi, haswa unapozingatia yafuatayo:


Kwenda nyumbani ulipozaliwa ni jambo zuri sana -lakini unapofika je utalala katika kitanda chako cha utoto pamoja na watoto wako?

"Hata kama tuna kazi nyingi au tuko nyumbani, kuna wakati huwa tunapata wa kukaa peke yetu.

Lakini sikukuu ya Krismasi huwa inawalazimisha watu mara zote kuwa wengi katika sehemu moja".

"Kama una ndugu , lazima huwa kuna jambo la kufanya kutaka kuwa na mtu fulani kuongea naye.

"Watoto walikuwa wamezoea kukaa na wazazi wao, lakini wazazi wamekuwa wakiwapuuzia kutokana na tamthilia na kukataa kucheza nao".

Ni vyema kuthamini watu walio karibu yako na kutenga muda kwa ajili yao na kufanya familia iwe na furaha siku ya Krismasi na haimaanishi kuwa mnapaswa kuwa pamoja saa 24.

Badala ya kutarajia kila mtu kujumuika sikukuu ya krismasi , labda watu wanapaswa kukubaliana muda wa kufungua zawadi, muda wa kula chakula cha mchana au mtu kuendana na mazingira yaliyopo.

2. Sio sikukuu ya upishi peke yake

Young women eating near sinkHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES

Mapishi siku ya Krismasi huwa ni shughuli kubwa.

Kuna mambo mengi ambayo , mara nyingi watu huwa wanatumia ujuzi wao wote kupika mapochopocho na hekaheka kuwa nyingi.

Kama mmepanga kupika, si jambo baya kuomba msaada kwa watu ili mpike pamoja.

"Hakikisha kuwa umeweka ratiba ili kila mtu aweze kusaidia katika upishi."

Ni muhimu kwa kila mmoja awe anajukumu katika shughuli hiyo, kama kupika nyumbani ni changamoto basi ni vyema kuagiza.

3. Krismasi ni sherehe ya nani?

Baby in front of Christmas lightsHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES

Mara nyingi watu wanaiona sikukuu hii ni kwa ajili ya watoto na mara nyingine wengine huona kama ya watu wazima na wakati mwingine ni ya familia.

Kadri miaka inavyozidi kuna tofauti sana ya mtazamo wa sikukuu hii.

Watoto huwa wanafurahia kupata zawadi wakati , watu wazima wanafurahi kunywa pombe kabla ya usiku haujafika na kubishana siasa.

Kikubwa ni kuwa familia huwa zimeweka utamaduni wa kujumuika kwa pamoja.

4. Maelewano wakati wa Krismasi

Ni vyema kukubaliana kufuata utaratibu fulani katika siku kuuu ya krismasi.

Ni wazo zuri ili watu waweze kuheshimiana na kufurahi kwa pamoja bila kubishana.

Kama mtu amekuudhi basi ni vyema kukubali kupuuzia.

  • 'Nimekulia katika mji ambao kila siku ni Krismasi'
  • Mti wa Krismasi uliotengenezwa kwa visu, risasi na mikasi

5. Teknolojia

Close-up remote controlHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES

Kumbuka kuwa kuna televisheni moja na watu ni wengi hivyo inabidi kukubaliane cha kuangalia?

Licha ya kwamba siku hizi simu zimechukua nafasi kubwa zaidi, lakini vyema kuweka mbali teknolojia na kuwa karibu na walio karibu yako.

6. Kuimba wakati wa Krismasi?

Family playing a game

Muziki huwa ni namna nzuri ya kufurahia sikukuu hii na kuleta familia karibu na kumfanya kila mmoja afurahie siku hii.

Unaweza kutumia mtindo wa kila mmoja kuimba ili kuwafanya wajumuike kwa ukaribu zaidi.

7. Umakini wa bajeti yako

Kuna mambo mengi ya kununua wakati huu wa krismasi lakini kumbuka kuna mwezi unaofuata ambao una majukumu mengi zaidi.

Januari huwa ni mwezi mgumu sana, majukumu huwa mengi. Ni vyema kuwa na kikomo katika bajeti yako.

  • Sherehekea kwa uangalifu Januari yaja

8.Krismasi inataka watu wafurahi

Krismasi ni wakati wa furaha. Migogoro na ugomvi sio wakati wake hivyo ni vyema watu kuwa na amani na furaha katika siku hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.