• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Mahakama Wilayani Kalambo Zafanikiwa Kusajili Mashauri 525

Posted on: February 2nd, 2021

Mahakama ya wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa kwa mwaka 2020 imefanikiwa kusajili mashauri 176 na kumaliza mashauri 197 huku mahakama za mwanzo zikifanikiwa kusajili mashauri 349 na kumaliza mashauri 369.

Mahakama kuu nchini Tanzania ilitambuliwa na katiba ya Jamhuri ya mungano wa Tanzania mwaka 1977 na badae kuanzishwa kwa mahakama ya lufani mwaka 1979. Akiongea jana wakati wa kilele cha madhimisho ya miaka 100 ya mahakama nchini ,Hakimu mkazi mwandamizi wa wilaya ya Kalambo Ramadhani Lugemalila ,alisema tangu kuanzishwa kwa mahakama kuu nchini, serikali imefainikiwa kuanzisha masijala kuu ya Mahakama ya Tanzania  na kanda za mahakama kuu 16 na Divisheni za mahakama kuu 4 ambazo ni pamoja na Aridhi, Biashara, kazi na Divisheni  ya makosa ya Rushwa na Uhujumu uchumi.

Alisema ibara ya 107 (1) ya katiba ya jamhuri ya mungano wa Tanzania ya mwaka 1977 inazitaka mahakama zote nchini kutoa haki kwa wananchi wote bila kujali hali ya mtu, kijamii au kiuchumi na kusema utoaji wa haki unatakiwa kutolewa kwa wakati sambamba na kutoa fidia kwa waathirika na makosa ya watu wengine ikiwa ni pamoja na kukuza na kuendeleza usuruhushi wa migogoro.

Aidha alisema kwa kutekeleza hilo mahakama ya wilaya ya Kalambo kwa mwaka 2020 iliweza kusajili mashauri 176 na kufanikiwa kumaliza mashauri 197 na kubakiza mashauri 32.

Alisema licha ya hilo katika mahakama za mwanzo walifanikiwa kusajili mashauri 349 na kumaliza mashauri 369 na mashauri 16 yakibakia na kusema kwa idadi hiyo mahakama ziliweza kufikia malengo yake yaliowekwa na mahakama ya Tanzania.

‘’vile vile kila hakimu kulingana na ngazi zao pamoja na waheshimiwa majaji wamewekewa kiwango maalumu cha mashauri ya kusikiliza na kuyamaliza ndani ya mwaka husika. kwa mahakimu waliopo mahakama za mwanzo wanatakiwa kumaliza kesi 260 na mahikimu waliopo mahakama za wilaya na mahakama za hakimu mkazi wanatakiwa kumaliza kesi 250 na waheshimiwa majaji wao wanalazimika kumaliza kesi 220. Alisema lugemalila.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.