• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Mashabiki Wa Yanga Mkoani Rukwa Wajitokeza Kufanya Usafi.

Posted on: August 29th, 2020

Mashabiki wa timu ya yanga Sc mkoani Rukwa wamejitokeza kufanya usafi katika maeno tofauti ya manispaa ya sumbawanga ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Mh. Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli la kufaanya usafiki kila jumamosi ya  mwisho wa mwezi

Mashabiki hao wamejitokeza kutoka maeneo tofauti ya mkoa wa rukwa na kuungana  na watu  wengine  katika  kufanya  usafi wa  mazingira ikiwa ni pamojaa na kujitolea  kutoa  damu katika baadhi ya hosptali zilizopo mkoani hapa .

Mashabiki hao wamedai kuwa wao kama wanamichezo wanaamini katika usafi na ndiyo maana wamejitokeza kwa wingi kufanya kazi hiyo na kuwa yanga yenyewe imejikita zaidi katika shughuli za kijamii na kuwa hiyo ni moja ya malengo yao.

Riziki Awadi mwanachama wa Yanga amedai kuwa wao kwao imekua ni kawaida kushiriki katika shughuli hizo za kijamii lakini kubwa ni kuunga mkono kauli ya Rais ya kuifanya jumamosi ya kila mwisho wa mwezi kuwa ni siku ya usafi na kuwa ni muhimu kwa kila mtu kufanya usafi

Alisema kuwa si mara yao ya kwanza kufanya hivyo na kuwataka watani wenzao ambao ni Simba kuiga utaratibu huu ambao ni mzuri wa kushiriki shughuli kama hizo za kijamii na kuwa hiyo inaweza kuwa ni njia ya kuwahamasisha na watu wengine kushiriki katika shughuli kama hizo za kijamii.

Asheri Benard kwa upande wake amesema kuwa hilo wanalolifanya sasa ni maandalizi ya kuelekea kwenye siku ya Yanga (Yanga Day ) na wana Imani kuwa siku hiyo watafanya mambo makubwa.

Pia amedai kuwa katika mpango wao watakwenda pia kujitolea damu kwa ajiri ya kuwasaidia watu wengine wenye matatizo yanayohitaji damu hususani Mama wajawazito.

Sambamba na hilo  wanachama wa Yanga tawi la Kalambo nao katika kuadhimisha Yanga day wamekwenda katika hospitali ya wilaya ya Kalambo kwa ajili ya kujitolea damu.

Mwisho

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.