• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Mbwa Vichaa Waleta Taharuki Kwa Wananchi .Serikali Ya Adhimia Kuwateketeza Kwa Bunduki.

Posted on: September 18th, 2019


Halmashauri ya wilaya ya kalambo mkoani Rukwa kupitia idara ya mifugo na uvuvi imenza kukabiliana na wimbi la mbwa vichaa kwa kuwapiga risasi baada ya kujitokeza malalamiko ya wananchi katika maeneo tofauti ya wilaya hiyo wakidai kung’atwa na kusababishiwa madhara mbali mbali yakiwemo tetenasi,kichaa cha mbwa na hatimaye kupoteza maisha.

Hatua hiyo inakuja baada ya mbwa mmoja aliyesadikiwa kuwa na kichaa kung’ata watoto kumi na nne katika vijiji vya Keleni na Matai asilia, watu wazima watatu Kisungamile na mtu mzima mmoja katika kijiji cha Santa Maria ambaye pia alipoteza maisha. Kufuatia matukio hayo, wananchi wamelazimika kuiomba serikali kuangalia namna ya kuwasaidia kwa kuawapatia chanjo mbwa wote.

‘’Tunaiomba serikali iangalie uwezekano wa kuwa chanja mbwa wote pamoja na kusogeza huduma ya chanjo ya kuzuia kichaa cha mbwa kwenye Vituo vya Afya na Zahanati zote, badala ya kufuata huduma hiyo mjini Sumbawanga baada ya kung’atwa na mbwa ambapo baadhi ya watu wamekuwa wakichelewa na hatimaye kupoteza maisha.’’Walisema wananchi hao.

Akiongea kupitia mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kijiji cha Santa Maria, Afisa mifugo na uvuvi wilayani humo Wilbroad Kansapa, amesema wilaya  hiyo inajumla  ya  mbwa  wapatao 6,360 na kwamba ili kukabiliana na changamoto hiyo amewasiliana na Mganga Mkuu wa wilaya ili kuhakikisha dawa za kuwatibu watu ambao wamekuwa wakiathirika na adha hiyo zinapatikana kwenye vituo vyote  vya  afya  na zahanati katika Wilaya nzima.

Wakati huo huo ,amewataka wananchi wote wanaomiliki mbwa kuwaleta mbwa wote kuchanjwa pindi tangazo linapotolewa, na kwamba mbwa wote lazima wafungwe kuanzia saa kumi na moja asubuhi na kufunguliwa saa sita usiku, vinginevyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao wote watakao kaidi sheria hiyo, lengo likiwa ni kuendeleza azima ya Serikali ya kufuga kitaalamu na kwa tija nchini kote.


 

 

 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.