• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Milioni 60 Zatengwa Kuendeshea Mradi Wa lishe Wilayani Kalambo.

Posted on: October 1st, 2019


Katika jitihada za kutekeleza afua za lishe kwa watoto chini ya umri wa miaka mitano mkoani Rukwa, Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo imetenga jumla ya shilingi milioni sitini ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa agizo la  Waziri wa TAMISEMI Mheshimiwa Sereman Jafo [MB] kutenga fedha kiasi cha shilingi elfu moja kwa kila mtoto ili kupambana na udumavu na utapia mlo unaokadiriwa kuwa asilimia 56.3 Mkoani hapa.

Akiongea na kamati za lishe Kaimu Mkurugezi Mtendaji Wilayani humo Eriki Kayombo, amesema Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo kama sehemu ya Mkoa wa Rukwa haipaswi kuwa na ulemavu kutokana na uzalishaji mkubwa wa chakula na huduma bora za jamii zikiwemo Afya,Usafirishaji na utawala bora kwa Wananchi.

Pamoja na maelezo hayo, Kaimu Mkurugenzi Kayombo amezitaka shule za Msingi na Sekondari Wilayani Kalambo kuyaendeleza mashamba yote ya shule ili kuzalisha chakula na kuanza kukitoa kwa Wanafunzi wote hasa wakati wa mchana kwa wale wa kutwa wakati Serikali ikiendelea na huduma hiyo kwa watoto wa bweni.

‘’Lazima watoto wote wapate chakula katika shule zote kwa maana ya Msingi na Sekondari ili tuondokane na udumavu hii ni aibu kwetu jamani,’’Anasisitiza Kayombo.

Sanjali na hayo, amewataka Wakuu wa shule katika ngazi zote kuendelea kusimamia utoaji taaluma bora ili Wilaya iendelee kung’ara akitolea mfano wa matokeo mazuri yaliyopatikana katika mitihani ya Moko kidato cha nne mwaka huu ambapo Wilaya imeshika nafasi ya pili kimkoa, kwani kati ya wanafunzi 983 waliotahiniwa, 792 wamefaulu sawa na asilimia 80.6 ikilinganishwa na asilimia 65 ya mwaka 2018 ambapo Wilaya ilichukua nafasi ya nne.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.