• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

MILLIONI 155 ZAKAMILISHA UJENZI WA BWENI LA WANAFUNZI NA BWALO SHULE YA SEKONDARI WASICHANA KALAMBO.

Posted on: July 16th, 2025

Wanafunzi katika shule ya Sekondari wasichana Kalambo mkoani Rukwa wanatarajia kuanza kunufaika na huduma ya bwalo na bweni baada ya serikali kutoa fedha kiasi cha shilingi 155,219.891.95 kisha kuanza ujenzi ambao umefikia asilimia 98 ya ukamilishaji.

Mkuu wa shule hiyo Felista Sichula amebainisha kuwa serikali ilitoa fedha kiasi cha shilingi 56,331,491.91 kwa ajili ya umaliziaji wa bweni na shilingi 98,884,000 ikiwa ni kwa ajili ya umaliziaji wa Bwalo na kwamba uwepo wa miradi hiyo utawezesha wanafunzi kuishi katika mazingira rafiki na kupunguza utoro na mimba za utotoni.

‘’Tunatoa shukrani za dhati kwa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Mh.Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutupatia fedha kwa ajili ya umaliziaji wa miundombinu ya shule ambayo itawezesha wanafunzi kukaa katika sehemu rafiki’’

Mkuu wa mkoa wa Rukwa Makongoro Nyerere ametembelea miradi hiyo na kuupongeza uongozi wa Halmashauri ya wilaya hiyo kwa utekelezaji mzuri wa miradi hiyo na kuwataka wanafunzi kuitunza miundombinu hiyo ili iweze kudumu kwa muda mrefu.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • SERIKALI YA WAKIKISHIA WANANCHI KUBORESHWA KWA MPAKA WA KASESYA

    July 16, 2025
  • UJENZI WA VYUMBA VITATU VYA MADARASA SHULE YA MSINGI MKAPA WAFIKIA 98%.

    July 16, 2025
  • MILLIONI 155 ZAKAMILISHA UJENZI WA BWENI LA WANAFUNZI NA BWALO SHULE YA SEKONDARI WASICHANA KALAMBO.

    July 16, 2025
  • UJENZI WA VYUMBA VITATU VYA MADARASA SHULE YA MSINGI MKAPA WAFIKIA 98%.

    July 15, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.