• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Mkuu Wa Mkoa Wa Rukwa Joachim Wangabo Autaka Uongozi wa Halmashauri Hiyo Kukamilisha Ujezi Wa Hospitali Ndani Ya Siku Kumi.

Posted on: June 24th, 2019

Mkuu wa mkoa wa Rukwa Joachim Wangobo amemwagiza mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Kalambo Palela msongera kuhakikisha anakamilisha ujezi wa hospitari ya wilaya hiyo ndani ya siku kumi na kusisitiza kuchukua hatua kali za kisheria dhidi ya wakandasi  ambao wataenda kinyume na matakwa ya mkata.

Ujezi wa hospitali ya wilaya ya kalambo ulinza march 2019 na huku mkataba wake ukiwa ni miezi mitatu na ukijumuisha ujenzi wa  majengo saba na  kughalimu kiasi cha shilingi bilion1.8

 Katika kuhakikisha ujezi huo unakamilika kwa wakati mkuu wa  mkoa huo Joachim Wangabo amelazimika kukagua maendeleo ya ujezi wa hositali hiyo kwa kuuagizauongozi wa halmashauri hiyo  kuhakikisha ujezi huo unakamilika  ndani ya siku  kumi.

‘’kusema kweli hali hailidhishi  kwasababu awamu  ilipita  nilifika hapa  na  nikatoa maelekezo na mnaagizo,lakini  naona  bado  hazi  iko  vilevile na  hiii ni  maakosa   ya  uongozi  wa  wilaya  hivyo niseme mkurugenzi tutafikishana  mbali endapo  hali  bado  itaendelea kuwa hivi.’’ Alisema Wangabo.

Mkurugenzi mtendaji wa halamshauri hiyo Palela Msongera,aliesema tayari wameanza jitihada za  kusambaza maji  kwenye maeneo  hayo  na kusema licha ya hilo wameagiza vifa vya ujenzi ambavyo muda wowote vitakawa saiti.

‘’mkuu  vmpaka sasa tumeagiza  vifaa  vya  ujezi ikiwemo  sementi  ambavyo  tunatarajia  muda wowote kuanzia sasa vitakuwa vimefika eneola saiti na ujenzi kuendelea kama  kawaida.’’alisema  Msongera.

Hata hivyo ujezi wa hospitrali hiyo upo katika hatua ya upauaji hivyo endapo ukikamilika kwa wakati  itasaidia wananchi kuondokana na adha ya kutembea umbali mrefu wakati wa kutafuta huduma za matibabu.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.