• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Mkuu Wa mkoa Wa Rukwa Joachim Wangabo Awataka Wataalamu wa Afya Kutoa Elimu Ya Unyonyeshaji

Posted on: July 31st, 2019


Wakati tukielekea madhimisho ya kilele cha wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama duniani ,mkuu wa mkoa wa Rukwa Joachim Wangabo amewataka wataalamu wa afya mkoani humo kuendelea kutoa elimu kwa wananchi juu ya umuhimu wa unyonyeshaji kwa akina mama wote kwa lengo la kusaidia kupata watoto wenye ulewa na afya nzuri.

Wiki ya unyonyeshaji hufanyika kuanzia tarehe moja ya kuanzia agosti moja hadi saba kila mwaka,ambapo kwa mwaka 2019 madhimisho hayo kimkoa yatafanyika katika kata ya kisusumba wilayani kalambo na huku kauli mbiu ikiwa ni ‘’mwezeshe mama aweze kunyonyesha’’

Akiongea ofisini kwake mkuu wa mkoa huo Joachim Wangabo alisema lengo la serikali ni kuhakikisha jamii inapata uelewa kuhusu jinsi,usawa wa kijinsia,sheria na kanuni zinavyowezesha kulinda ,kuendeleza na kusaidia uonyeshaji maziwa ya mama ili kuboresha lishe ya watoto na jamii.

‘’unyonyeshaji ni jukumu la kila mtu katika nafasi yake,watu hao ni pamoja na baba,familia,viongozi ngazi ya jaamii,wafaanyakazi wa afya wenye ujuzi ,wataamu wa masuala ya uonyonyeshaji  na marafiki, pia ni vizuri kwa mama kupata muda na msaada wa kutosha katika kipindi cha kunyonyesha  na pia apate elimu ya makuzi na malezi kwa  watoto wake’’alisema Wangabo.

Alisema licha ya hilo vyombo vya habari vinaweza kufuatilia utekelezaji wa  sheria mbalimbali zinazolinda haki za uzazi na uzalishaji wa watoto kwa  kufanya tafiti,kuandika,kuripoti matukio mbalimbali ikiwemo haki ya kupata likizo ya uzazi.

Kaimu afisa lishe mkoani humo Asha Izina, alisema lengo la serikali ni kuhakikisha akina mama wote wanapewa  kipaumbele zaidi hususani wakati wa  kipindi cha unyonyeshaji kwa lengo la kusaidia kuondokana na adha ya udumavu  kwa  watoto

Madhimisho ya wiki ya unyonyeshaji yatafanyika sambamba na siku ya afya ya kijiji yatakayo fanyika katika vijiji vyote kuanzia agost moja 2019 katika kijiji cha Kisumbakati  wilayani  kalambo mkoani  hapa.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.