• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Mradi wa Ujenzi wa Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Kalambo Umeanza Utekelezaji.

Posted on: December 6th, 2017

...Mradi wa ujenzi wa jengo la ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo umeenza utekelezaji wake ambapo kwa sasa ujenzi huo upo katika hatua ya ujenzi wa msingi. Jengo hilo litakua na vyumba vya ofisi takribani 60 ambavyo vitatumiwa na ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Kalambo ambapo pia ofisi zingine zitakodishwa kwa taasisi mbalimbali zenye uhitaji. Mbali na vyumba vya ofisi jengo hilo litakua na ukumbi wa Mikutano, sehemu ya chakula n.k

Ujenzi wa jengo hilo unatarajiwa kukamilika katika kipindi cha miezi 20 hasa ikiwa fedha za ujenzi wa jengo hilo zitakua zikifika kwa wakati kutoka Serikali kuu. Kukamilika kwa jengo hilo kutasaidia kutoa nafasi ya kufunguliwa kwa shule ya wasichana Matai shule ambayo kwa sasa majengo yake yanatumika kama ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauli ya Wilaya ya Kalambo. Ufunguzi wa shule hiyo utapunguza kwa kiwango kikubwa uhaba wa shule za sekondari unaoikabiri Wilaya ya Kalambo.

Mbali na ujenzi wa ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji, ujenzi wa majengo ya taasisi mbalimbali za serikali umekua ukiendelea katika Wilaya ya Kalambo ambapo majengo ya ofisi ya Mkuu wa Wilaya, Tanesco, VETA yamekua yakiendelea kujengwa kwa kasi ya hali ya juu. Sambamba na ujenzi wa majengo ya taasisi ujenzi wa nyumba bora za makazi umeendelea kushika hatamu katika maeneo mbalimbali ambayo yamepimwa katika mji wa Matai na kuufanya Mji huo kuwa kivutio kikubwa kwa watu wengi.

Mji wa Matai unatarajiwa kuwa kituo kikuu cha biashara kati ya nchi ya Tanzania na nchi jirani ya Zambia pamoja na Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo mara baada ya kukamilika kwa barabara zinazounganisha nchi hizo katika kiwango cha rami pamoja na uboreshaji wa bandari ya Kasanga.


Mradi wa Ujenzi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kalambo

Ujenzi wa nyumba bora za makazi katika Mji wa Matai 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.