• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Naibu Waziri Kandege Atoa Misaada Kwa Waathirika Wa Mafuriko - Kipwa

Posted on: May 4th, 2020


Naibu waziri ofisi ya Rais tawala za mikoa na serikali za mitaa (TAMISEMI) Josephati kandege ametoa misaada ya vitu mbalimbali kwa waathirika wa mafuliko yaliosababisha zaidi ya nyumba 138 kubomoka na watu 139 kukosa makazi  katika kijiji cha kipwa wilayani kalambo mkoani Rukwa .

Kijiji cha Kipwa kipo  mpakani  mwa  nchi ya Tanzania  na Zambia lakini kwa hivi  sasa kijiji hicho kinakabiliwa na kadhia ya maji ya ziwa Tanganyika kuzingira   makazi yao .

Maji hayo  yamesababisha  Zaidi  ya  nyumba 138  kubomoka  na  kaya  139 kuacha  makazi  na huku changamoto  kubwa ikitajwa kuwa ni watu  wengi  kukosa  chakula  pamoja  na vitu vya  kujifunika ikiwemo  mablanketi  na matenti.

 Hali hiyo imepelekea Naibu waziri  ofis  ya  Rais  tawala za mikoa na serikali za mitaa TAMISEMI Josephat  Kandege  kufika kijijini  hapo kisha  kutoa misaada  ya  vitu mbalimbali kwa wakazi  wa kijiji hicho  ikiwemo unga kiasi cha tani moja.

  Hata  hivyo katika ziara  hiyo ametumia fulsa  hiyo  kuwasihi wananchi wa kijiji hicho kuhakikisha  wanahamia  katika  maeneo ya milima Mawesande ambako maji  ya ziwa hilo hayawezi kufika kiurahisi na kulipongeza shirika la msalaba mwekundu kwa kuwezesha  mablanketi 100 na magodoro 100  wakazi wa  kijiji hicho na kuwa  msaada  huo ni mkubwa.

Mwakilishi wa mkuu wa mkoa huo Endrue Ngindo, amesema licha  ya hilo mkoa   umetoa  kilo 100 za sukari pamoja na matenti 16 lengo likiwa ni kuwasaidia  wananchi  hao.

Wakazi  wa  kijiji  hicho  kwa upande wao wamesema msaada huo utawasaidia  kwa  kiasi kikubwa  na kuwasihi watu wengine kuendelea kufika maeneo hayo ili kuwasaidia.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.