• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Naibu Waziri TAMISEMI Ataka Mradi wa Maji Myunga Kukamilika Ndani ya Wiki Mbili

Posted on: June 18th, 2019

Naibu  waziri wa  nchi  ofisi  ya  Rais Tamisem Josephat  kandege  ameuagiza  uongozi  wa   halmashauri  ya  wilaya  ya  Kalambo  mkoani  Rukwa  kuhakikisha   mradi  wa  maji  wa Myunga unakamilika  kabla  ya   june  30,2019 na kutishia  kumfutia  lesen mkandas   wa  mradi  huo  endapo  ataenda  kinyume  na mkataba utavyo  taka.

Mradi  wa  maji  wa  Myunga  ulinza  kujengwa  novembar 2017 na  huku  ukitakiwa   kukamilika  julai 31 2018  na  ukijumuisha  ufungaji  wa umeme  wa  sola    sambamba  na   kujenga  vituo  20  vya  maji  kwa  gharama  ya  zaidi  ya shilingi  million 630.

Awali akisoma  taarifa   fupi  mbele  ya  mgeni  rasmi  mkuu  wa  idara  ya  maji  wilayani  humo ENG Bakar Kiwitu ,amesema  mradi  huo  upo kwenye  asilimia  sitini  60% za utekelezaji.

‘’Kazi  zilizo  fanyika  ni  pamoja  na mabomba  yenye vipenyo  mbalimbali  vyenye  jumla  ya urefu wa kilometa zote 7.698  yamelazwa,ujenzi  wa  vituo  2 kati  ya 20 vya kuchotea maji ,ujenzi  wa  tanki la  ujazo wa lita 150,000 umefikia asilimia 75.’’alisema  kiwitu.

  Kwa  upande  wake Naibu  waziri  wa  nchi   ofis  ya  Rais  Tamisem  Josephat  kandege  alisema  endapo  mradi  huo  ukikamilika  utawanufaisha  wananchi  kwenye  vijiji  kumi  na  kuutaka  uongozi  husika kuhakikisha unasimamia  kwa  ukaribu  ili  mradi  huo  uweze  kukamilika  kwa  haraka.

‘’kampuni  hii  endapo  itashindwa  kutekeleza  mradi  huu  kwa  wakati   itakuwa  miongoni  mwa  kampuni  ambazo  hazitapewa  tenda tena  na  serikali  hivyo  nisingependa  kuona  hali  kama  hii  ikijitokeza  hivyo  nina  imani  kufikia  june  30  ,2019 mradi  huu  uwe umekamirikali  tayari  kwa  matumizi’’.alisema kandege.

 Hata  hivyo  mpaka  sasa  mkandaras  emelipwa  kias  cha  shilingi  million 148.8 sawa   na  aslimia 23  na  huku  changamoto   kubwa   inayokwamisha  kukamilishwa   kwa  mradi  huo  ikitajwa  kuwa  ni  mkandasi kufanya  kazi  kwa  kasi  ndogo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.