• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Nyumba 7 Za Bomoka Na Mtu Mmoja Kufariki Dunia Wilayani Kalambo.

Posted on: March 20th, 2020


MVUA zinazoendelea kunyesha mkoani Rukwa zimeendelea kusababisha maafa kwa baadhi ya maeneo huku mtu mmoja akifariki dunia na nyumba saba kuanguka katika wilaya ya Kalambo .

Katika tukio la kwanza limetokea katika kijiji cha Kanyarakata kata ya Mbuluma, ambapo mkazi mmoja wa kijiji hicho alifariki dunia wakati akivusha mifugo yake kwenye mto Kalambo na kusombwa na maji na kukutwa akiwa amefariki dunia.

Kufuatia hali hiyo mkuu wa wilaya ya Kalambo Julieth Binyura aliwasihi wananchi  wilayani humo kuwamakini  hususani katika  kipindi  hiki cha masika.

‘’wananchi wanatakiwa kuwa makini hususani wakati wa kuvuka kwenye mito  kwani  mvua ni nyingi na zinaweza kusababisha matatizo dhidi yao kama ilivyotokea katika  kata  ya  Mbuluma’’. alisema Binyura.

 Katika tukio lingine limetokea katika kijiji cha kasanga ambako nyumba saba zimeanguka kufuatia mvua kubwa ilionyesha  katika  maaeneo hayo.

Afisa tarafa  hiyo Endrue  Manyema  Ngindo , amesema  chanzo ni kutokana na mto Katete kuhama njia na kupeleka maji yake katika  makazi  ya watu  na hivyo  kusababisha baadhi ya nyumba kuanguka.

Alisemaa licha  ya  hilo  mvua  hiyo ilisababisha maafa  katika  kijiji cha Kipwa na kupelekea familia moja kukosa makazi.

Hata hivyo siku za hivi karibuni mkuu wa mkoa wa Rukwa Joachim Wangabo alitembelea maeneo ya bonde la ziwa  Rukwa  kufuatia maafa ya mvua kutokea  katika  vijiji  vya Kinambo, Maenje, Milepa, Sakalilo na Talanda vilivyopo kata ya Milepa na Ilemba, katika bonde la Ziwa Rukwa Wilayani Sumbawanga,  ambako Zaidi  ya  nyumba 135 zilibomoka  na kaya 72 kukosa makazi .

Katika  salamu zake  Mh. Wangabo alisema kuwa janga hilo hakuna aliyelitegemea na kulifananisha tukio hilo na ajali ambayo haina kinga na ndio sababu iliyopelekea kufika hapo kutoa pole kutokana na janga hilo na kuwapongeza wale waliowahifadhi ndugu na jamaa ambao wamekosa mahala pa kuishi kutokana na nyumba zao kuangushwa na mvua hiyo.

Aidha, katika ziara yake hiyo alitoa kilo 500 za unga wa sembe pamoja na kilo 200 za maharage kwa kamati ya maafa ya wilaya ili waweze kugawa kwa waathiriwa wa mvua hiyo katika vijiji hivyo vya bonde la Ziwa Rukwa na kuwataka wadau mbalimbali kuweza kujitokeza kusaidia waathiriwa hao ili waweze kurudi katika maisha yao ya kawaida.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.