• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Rais Magufuli atangaza kuachiwa kwa ndege Canada

Posted on: December 13th, 2019

Ndege ya Tanzania iliyokuwa ikishikiliwa nchini Canada imeachiliwa, rais wa nchi hiyo John Pombe Magufuli ameeleza.

Bila kusema imeachiwa lini, na kwa makubaliano gani, rais Magufuli amewaambia wananchi mkoani Mwanza wajiandae kuipokea mkoani hapo.

Ndege aina ya Bombardier Q400 ilikamatwa nchni Canada baada ya mkulima mstaafa Hermanus Steyn kuishtaki serikali ya Tanzania nchini humo.

Hii ilikuwa ni mara ya pili kwa mkulima huyo kufungua malalamishi ambayo yalisababisha ndege za Tanzania kushikiliwa.

Mwezi Agosti, Steyn alifungua Mahakama Kuu nchini Afrika Kusini katika jimbo la Gauteng akidai fidia ya dola 33 milioni.

Mkulima huyo anadai fidia baada ya mali zake kutaifishwa na Serikali ya Tanzania mwaka 1980.

'Tumekasirika'

Sahauri hilo lilisababisha Mahakama hiyo ya Gauteng kuizuia ndege ya Tanzania aina ya Airbus A220-300 kuondoka nchini humo.

Hata hivyo, serikali ya Tanzania ilimshinda mkulima huyo mahakamani hapo mpaka katika ngazi ya rufaa na hatimaye Septemba 3, 2019 mahakama hiyo iliamuru ndege hiyo kuachiliwa.

  • Ipi sababu ya kuzuiwa Air Tanzania?

Novemba 23, 2019, wakati wa hafla ya kuapishwa kwa mabalozi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Profesa Palamagamba Kabudi alitangaza kushikiliwa kwa Bombardier Q400 nchini Caanada, "ndege imekamatwa na kesi ipo mahakamani. Aliyesababisha ni yuleyule (Steyn) aliyesababisha ndege yetu kuzuiwa Afrika Kusini."

Serikali ya Tanzania ilituma wanasheria wake nchini humo, na pia kufanya mazungumzo na balozi wa Canada nchini Tanzania.

 Rais Magufuli  jana alitoa  tangazo la kuachiliwa ndege hiyo wakati akifungua mkutano wa Halmashauri Kuu ya chama tawala cha CCM jana  Alhamisi Desemba 12, jijini Mwanza: "ndege yetu iliyokuwa inashikiliwa Canada imeachiliwa, wananchi watatangaziwa tarehe ya kuwasili ili wakaipokea na tutaipokelea hapa Mwanza."

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.