• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

RC ATAKA WATAALAMU KUTOA ELIMU YA LISHE

Posted on: August 8th, 2025

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko amewataka wataalamu wa lishe kuongeza kasi ya utoaji wa elimu kwa wananchi juu ya umuhimu wa matumizi ya vyakula bora na vyenye virutubisho kwa Watoto wenye umri chini ya miaka 5 ili kufikia malengo ya serikali katika kutokomeza hali ya udumavu na utapiamlo mkali.

Ameyasema hayo baada ya kutembelea banda la Halmashauri ya wilaya ya Kalambo na kusisitiza wataalamu wa afya na lishe kuongeza kasi ya utoaji wa elimu kwa wananchi juu ya matumizi ya vyakula bora kwa Watoto ikiwemo uanzishaji wa mashamba Darasa ya mboga mboga na matunda.

Aidha kwa upande wake mkuu wa mkoa wa Rukwa Makongoro Nyerere kupitia ziara ya ukaguzi wa mabanda ya mkoa wa Rukwa ameelezea kufurahishwa na uongozi wa halmashauri ya Kalambo kwa kuanzisha mpango wa utoaji wa unga lishe wa Samaki kwa Watoto chini ya miaka mitano na kusisitiza wananchi katika mikoa ya nyanda za juu kusini kuyatumia maonesho hayo katika kujifunza mbinu mbalimbali za kilimo, ufugaji na uvuvi.

Pamoja na mambo mengine amewataka wataalamu wa lishe kuwafundisha na kuwasimamia wajasiliamali namna nzuri ya usindikaji wa vyakula mbalimbali ili viwe na ubora kwa watumiaji na wanapovitumia waweze kupata virutubishi vya kutosha.

 Kwa upande wake mkuu wa mkoa wa Iringa Kheri James ametumia fursa hiyo kuwataka wajasiriamali na wadau kuhakikisha bidhaa zinazozalishwa ndani ya nchi zinatangazwa kikamilifu ili kuongeza wigo wa masoko na kuchochea ushindani wa soko ili kuinua kipato cha wananchi na kutoa ajira kwa vijana.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • WANANCHI KALAMBO WATAKIWA KUCHUKUA TAHADHARI YA MAGOJWA YA MILIPUKO.

    October 09, 2025
  • MAAFISA BAJETI, IDARA NA VITENGO KALAMBO WAJENGEWA UWEZO NAMNA YA KUANDAA BAJETI KWA TIJA.

    October 08, 2025
  • DC KALAMBO AFANYA MAZUNGUMZO NA CHAMA CHA TUGHE

    October 08, 2025
  • DC KALAMBO AFANYA MAZUNGUMZO NA CHAMA CHA TUGHE

    October 08, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.